Mchechu, kama umeshindwa kazi utoke

Mchechu, kama umeshindwa kazi utoke

Unafahamu sasa hivi kuna part buy part rent schemes na wewe ndie uliekuwa wa kwanza kuja hapa kutuambia nyumba zote zimelipiwa cash na zimeisha.

Hizi habari za part buy part rent zimekuja lini? au walidhani watu mapunguani wataji-commit na ma mortage ya ajabu tena yenye short life.

Ndio maana nikauliza ni ngapi zimenunuliwa na individuals kwa sasa? naona longo longo isitoshe hipo wapi financial report yao iliyo hakikiwa na CAG ya mwaka jana. Naona mmkezana tu he is genious, he is genious sasa kama unakopa kwa sababu ya kujenga si utajenga tu.

Je return inarudi kama ilivyo pangwa awali au kwa sasa kuna new strategy to shift kwanza zile zilizozagaa kwa namna zingine and how is this in-line to earlier debt commitment.

Jibu kwanza hayo walau tuendelee vinginevyo stick na uvuvuzela.
Endelea kumwaga c.rap in the mean time real men with clear minded heads above their shoulders are busy working............!!!!
 
Mkuu mh. Rais anaakili kuliko ww ndio maana mambo yake anayafanya kwa hekima kuu...na wengi wa watanzania tunamfahamu kwamba si kilakitu tunachosema atafanya ..pia hata yeye anajua wa Tz tu frastuation ya maisha hivyo tuna ongeaga mambo mengi ya ajabu na yy kama ni baba wa familia hii ya kitanzania anatumia hekima kuamua..
hivyo watanzania tulio wengi tunajua dhamira yako na pressure unayo taka kuipeleka kwa mh..kwa njia ya kumlaumu
hyo ni tamaa ya fungu la pesa unalo taka kupitia madalali na hongo nyingine ......
nakusihi acha kabisa na huo mpango wako usione kama tupo kimya sana...kuwabomolea wenzetu wa kawe nyumba kule
maisha ni magumu sana kwa upande wetu so......kuwa makini mkuu..usimdhalilishe Mh..tulimchagua kwa kura zetu...
 
Alianza kwa mbwembwe ila naona kalewa tayari ha ha ha ha ha ha kila siku ana jifunza nini
 
yamezoea hayo kufuja mali za umma. ndivyo yanavyofundishwa, ndo maana mpaka leo hii zaidi ya miaka 53 ya uhuru nchi hii ni masikini kabisa tena bila hata vita kama walivyo waangola, wasomali nk.. wala usishangae.

Mwambie AENDE KWA ALHAJI DR RAMADHANI DAU AKAMFUNDISHE KAZI

KAZI NI VITENDO ATI,,SIYO MANENO NA LONGO LONGO

AFANYE KAZI IONEKANE
 
Mkuu,waziri wa makazi au Mayor wa jiji si wataalamu wa mipango miji! Pili, hiyo USD 1b unayoizungumzia mbona plans zake tayari? Hata michoro ipo...! Mradi unaitwa Salama Creek (ni satelite city) na ni eneo linaloitwa Uvumba wilayani Temeke, si Kawe. Hiyo ziara haina uhusiano na zile dola bilioni moja....
By the way, anaitwa 'Mchechu' na sio 'Msechu'.
In this case, safari kama hizi zinahitaji wataalamu wengi kuliko wanasiasa kuliko kubeba wanasiasa wengi alafu wanakwenda kukutana na wataalam wa huko na wakirudi wanatoa maelezo na kusifia ziara. By the way ziara nazo ni sehemu ya ujenzi unless kama mleta uzi angetupa mpango mzima wa kazi hiyo ili tujue kama kuna sehemu wame-delay kutekeleza huo mradi kuliko kulaumu bila kujua mwenendo mzima wa mradi huo
 
Endelea kumwaga c.rap in the mean time real men with clear minded heads above their shoulders are busy working............!!!!
Eti clear minded heads hakuna kitu ambacho sijamtabaria hajakifanya sidhani hata kama kweye hotuba yao bungeni ya kujenga nyumba elfu 5 a target which is short walikuwa wanafikiria kujenga with Local business district, tulienda mbali zaidi na kusema mkakati ni mmbovu kitakachosaidia mbeleni kulipa madeni ni income ya kodi; if you know anything about portfolio ukianza kulipa madeni kwa kitengo kingine cha biashara maana yake ni failure.

Stick na midahalo ya kwenda kununua mashine za kutotoa vifaranga na kuuuza haya mambo si saizi yako, yanataka maarifa ambayo auna.

By the way dhumuni sio majungu walau anafanya kitu atleast do it properly kwa manufaa ya jamii.
 
Mti wenye matunda ndio upopolewao. Kuna mashirika mangapi ya umma? Mbona Nehemiah kila siku? Piga kazi Nehemiah wanaochonga sio hadhi yako waache
 
Tafadhalini sana msiwaponde hao mnao waita vizee, wao walianzisha hilo shirika wakajenga nyumba kwa wananchi wa kawaida tena kwa mkopo wa shs 15400/- na mkopo ulikuwa unalipa shs 80/- kwa mwezi na hizo nyumba ndiyo mnazo ziona leo maeneo ya Ilala,Magomeni na Temeke angalia zilivyopangwa. Hawakupeleka kamati ya Bunge kwenda kuangalia miji inakuwa design vipi. Hoja hapa ni vipi wataalam wanawapeleka nje ya nchi wabunge kuona ujenzi wa satellite town katika ulimwengu wa leo?Mi naona mara elfu wangepeleka wanafunzi wa chuo cha ardhi

mchechu ni moja wa maceo wazuri kabisa waliopo hapa tz leo labda na yule jamaa wa tpb mwacheni afanye kazi
 
support aliyopewa mchechu na ikulu mtu yeyote humu jf angepewa nhc ingekuwa zaidi ya hii ya mchechu. Nilishasema na narudia kusema mchechu ni mzigo kama walivyo mizigo mingine kama eng kipande, maingu wa pspf, mafuru wa hazina, na january makamba n waziri

una ugonjwa unaoitwa "wivu".
 
kama huwezi kudeliver utoke waje wenye huo uwezo. Sasa nakubaliana na Zitto kuwa uwezo wako wa kazi ni mdogo,
hey listen, kwa viwango vya Tanzania utaonekana kichaa kumkosoa Msechu sijui Mchechu, I mean at the moment Msechu is the single most popular CEO in the country, again kwa viwango vyetu vya kibongo. Lakini kwa viwango vya kimataifa Msechu hawezi kuachwa kuwa hata super (msimamizi mbeba mafunguo wa apartment building) la jengo la unit kumi na tano, angeshafukuzwa.

But then again, the ilk of Nehemiah Msechu is the crème de la crème of the country, hatuna watu, work ethics and standards zetu ni ndogo sana kwa hiyo Watanzania wanashukuru kuwa na huyu.
 
support aliyopewa mchechu na IKULU mtu yeyote humu JF angepewa NHC ingekuwa zaidi ya hii ya MCHECHU. Nilishasema na narudia kusema MCHECHU ni MZIGO kama walivyo mizigo mingine kama Eng Kipande, Maingu wa PSPF, Mafuru wa Hazina, na January makamba N waziri



Mkuu siungejiuliza kwanini MCHECHU apewe support na IKULU sasa hv ikiwa NHC ilikuwepo miaka mingi,,,,,
 
Mchechu ametolewa CBA (Benki) corporate world ambako wanakupima kwa Performance kaletwa huku Serikalini ambako ni namna unavyoweza kuwaweka sawa "Wazee"ambako amefanikiwa kwa kuwapa "Trip" za Nje ya nchi. Nyie walalahoi hizo nyumba za bei nafuu mtazisikia tu
 
hey listen, kwa viwango vya Tanzania utaonekana kichaa kumkosoa Msechu sijui Mchechu, I mean at the moment Msechu is the single most popular CEO in the country, again kwa viwango vyetu vya kibongo. Lakini kwa viwango vya kimataifa Msechu hawezi kuachwa kuwa hata super (msimamizi mbeba mafunguo wa apartment building) la jengo la unit kumi na tano, angeshafukuzwa.

But then again, the ilk of Nehemiah Msechu is the crème de la crème of the country, hatuna watu, work ethics and standards zetu ni ndogo sana kwa hiyo Watanzania wanashukuru kuwa na huyu.

:becky::becky::becky::becky::becky: Labda ndio maana ameenda huko nje ili awe na viwango vya kimataifa...
 
Back
Top Bottom