Mchechu, kama umeshindwa kazi utoke

Mchechu, kama umeshindwa kazi utoke

Nikusaidie kidogo reforms za NHC zilianza siku nyingi, kumbuka sekta ya nyumba ilikuwa na THB NHC Msajili wa majumba na Nyumba za serikali chini ya ujenzi.

Reforms ya kwanza ilikuwa kudisolve THB iliyoonekana haifanyi vizuri, hili lilikuwa shirika la mwanzo kabisa kuchinjwa. Badae ikaja kuunganisha NHC na Msajili wa majumba na kuunda shirika moja la nyumba NHC. wakati ule fedha zote zilizokusanywa zilienda hazina kwenye general fund na badae NHC waliomba ruzuku kutoka serikalini.

Baada ya Magufuli kwenda wizara ya ardhi alibadili mfumo wa uendeshaji wa shirika hili kwa kulibadili na kuwa shirika linalojitegemea kwa kukusanya mapato na kuwekeza, pia alibadili viwango vya kodi ili viendane na soko na hatimae lijiendeshe kwa faida,

Magufuli alianzisha mradi wa property development kwa kushirikiana na private partners, huku kwetu yapo majengo kama saif plaza na mipa plaza, na ndo hayo majengo Mchechu kila siku anafungua as if ni fedha za NHC kumbe ni wafanyabiashara wamejenga katika viwanja vya NHC.

Baada ya magufuli kuondoka ardhi alikuja prof.tiba alimkuta tayari alishaanza kuyumba lakini baadae alimsimamia na akaanza tena kuperform chini ya usimamizi wa prof, sasa prof kaondoka ni dhahiri ameanza kupwaya, naamini prof angekuwepo asingefanya huu uzururaji. Kimsingi hakuna mantiki ya yeye kuwa na msururu wa wabunge huku na huko sasa Lukuvi anafanyakazi gani? hao wabunge wakichachamaa bungeni hawatamhoji Mchechu watamhoji Lukuvi yale yale ya Nyalandu na Nundu pale uchukuzi.
Mswahili mkosaji utsmjua tu, hadithi kede kede!
 
Mchechu amekuwa CEO March 2010 wakati huo shirika likiwa hoi na aliyekuwa waziri wa Ardhi kipindi kile aliweka mikakati ya kuajiri CEO mpya kwa nia ya kuijenga upya NHC. Kazi za kwanza za Mchechu ilikuwa ni kutoa vizee vyote vilivyochoka na kuweka timu wa ushindi. Kazi kubwa ilifanyika miezi 8 ya kwanza na ni kipindi hicho Mchechu alifahamika sana. Baadhi ya haters walishukuru sana kuona Tiba anakuwa waziri mwezi November 2010 wakidhani angesaidia kumng'oa lakini Tiba akasimika na kuendelea kumsifia na kutoa sapoti kwa hatua aliyoikuta. Mpaka hapo unaweza kuendelea mwenyewe

Umetoka porini kwenu lini? NHC iliwahi kuwa hoi? Unaelewa ulichoandika au umetumwa? Ingekuwa hoi Mkapa siangeondoka ameiuza ama ktk orodha ya kubinafsisha?
 
JK kakubeba kwa mbeleko hadi china kakutafutia mkopo wa dola billioni, ili uje utujengee nyumba sasa badala ya kujenga umeanza semina elekezi na akina lembeli, ulikuwa hongkong juzi africa ya kusini mala doha sasa mko brunei sijui Qater, hao akina lembeli ubunge ulishakwisha huko kote unafanyanao nini? nilitegemea kukuona una sign mikataba na wakandarasi kuanza ujenzi maramoja.

Kiwanja kawe ulishapewa, fedha unazo, michoro unayo sasa tatizo liko wapi? kama huwezi kudeliver utoke waje wenye huo uwezo. Sasa nakubaliana na Zitto kuwa uwezo wako wa kazi ni mdogo, leo nimeona ITV mko sijui nchi gani huko uarabuni haya munashangaa magorofa tu hamkuwa na mwenyeji hata mmoja, kujifunza gani bila kupata maelezo kutoka kwa mwenyeji.
Eddy unachekesha Na data zako za kuunga unga ni kama vile umesikia hadithi Na sasa unajaribu kupotosha umma, hiyo ziara ya Brunei Na quater umehadithiwa Na nani? Lakini potelea mbali hata ka
Ingekuwa commoro kila jambo lina sababu yake Mchechu nafikiri hajakurupuka anachokitumia katika ziara ni kazi ya mikono yake kujenga heshima hadi hats wewe unaona kinachofanyika, angekuwa wa hovyo hata huyo mheshimiwa rais asingemwamini kama unavyodai. Mwacheni achape kazi Makungu hayafai. Hakuna mchina mjinga anayeweza eti akasaini mkataba Na Kisha akamwaga cash money eti ndo NHC akazitumia kusafiria huo ni upotoshaji ndugu hebu ona aibu Kuwa mkweli
 
Nyie watu mna IQ ndogo sana.
Maweka allegations bila ysafacts , mkiwa challenged mnataka facts
Logic iko wapi!!!!
Unafahamu sasa hivi kuna part buy part rent schemes na wewe ndie uliekuwa wa kwanza kuja hapa kutuambia nyumba zote zimelipiwa cash na zimeisha.

Hizi habari za part buy part rent zimekuja lini? au walidhani watu mapunguani wataji-commit na ma mortage ya ajabu tena yenye short life.

Ndio maana nikauliza ni ngapi zimenunuliwa na individuals kwa sasa? naona longo longo isitoshe hipo wapi financial report yao iliyo hakikiwa na CAG ya mwaka jana. Naona mmkezana tu he is genious, he is genious sasa kama unakopa kwa sababu ya kujenga si utajenga tu.

Je return inarudi kama ilivyo pangwa awali au kwa sasa kuna new strategy to shift kwanza zile zilizozagaa kwa namna zingine and how is this in-line to earlier debt commitment.

Jibu kwanza hayo walau tuendelee vinginevyo stick na uvuvuzela.
 
Atapiga saa ngapi 20%? Waache wazunguke tu maana ndo mda wao wa mwishomwisho huu maana yule jamaa anayewabeba ataondoka nao.
 
kamati ya ardhi na maendeleo ya makazi ipo Dubai kwa ziara ya kikazi pamoja na waziri wa Ardhi nyumba na makazi wote wamekwenda kujifunza Maendeleo ya Dubai wakiwa na balozi mdogo wa Tanzania wa huko Dubai, tazama blog ya michuzi walivyopozi wapo Dubai sports village. Hivi ziara hiyo ina umuhimu gani kwa hao jamaa zetu waheshimiwa sana?
 
kamati ya ardhi na maendeleo ya makazi ipo dubai kwa ziara ya kikazi pamoja na waziri wa ardhi nyumba na makazi wote wamekwenda kujifunza maendeleo ya dubai wakiwa na balozi mdogo wa tanzania wa huko dubai, tazama blog ya michuzi walivyopozi wapo dubai sports village. Hivi ziara hiyo ina umuhimu gani kwa hao jamaa zetu waheshimiwa sana?

acheni kubwabwaja,tibaijika yeye alikua amesha safiri dunia nzima ,maendeleo na mikakati imara alikua nayo ,amesha jenga miji mingi duniani,ivyo hakuonahaja ya kuendela kuzunguka ovyo tena eti kwa ziara za kujifunza,huko kwake ilikua kuchezea na kuharibu pesa za walipa kodi tu,kwake alikua na nia moja kuchapa kazi tu,ndio maana walikua wanamshangaa sana walio zoea ziara za posho bila tija,na walikua wanamchukia kweli,sasa kaingia jamaa huyu lukuvi,yeye kwake ndio mda wa kujifunza,amekutana na mchechu aliye kuwa anamchukia sana tibaijuka kuto kumruhusu kusafiri ovyo na ambaye mkubali mkatae alileta mabadiliko makubwa sana na mikakati imara ktk shirika hilo,wanao fatilia wanajua kuwa shirika ilo lime ngara zaidi chini ya usimamizi wa tibaijuka na si vinginevyo.

Wacha mchechu afurahie offer za kusafiri sasa chini ya mwenzie lukuvi amabao yeye ameamua kutumia muda mchache alio pewa kujifunza kwa wengine.

Ama kweli haya mambo utayakuta tz tu
 
Kuongea kingereza ndo nini sasa? hebu nikuulize mchechu keshapewa dola billioni moja ya salama creek tangu mwaka jana hadi leo mkandarasi hajafika site na sidhani kama alishapatikana, yeye kupiga mapicha tu kama diamond. tulilalamika hivihivi juu ya Mataka na ATC tukaambiwa tuna wivu wa kike, leo pesa ya kununua dawa na madawati tunalipia deni la ndege mbovu,
Hakuna usd 1 billion
Kuambiwa utapewa na kupewa ni vitu viwili tofauti.
Hiyo salama creek ni kigamboni.
Huko kuangaika kote ni kutafuta watu wenye hela waje kuwekewa kwenye hiyo miradi
 
Tatizo lako nini? hutaki watunga sheria wajifunze? inaonekana wewe ndo ulikuwa unashangaa maghorofa kwani hukuona walivyokuwa wanapata maelezo kutoka kwa wataalamu?

We farasi kweli. Ilishindikana nini kusoma online . kisha tufanye implementation. Hizo ni mianya ya kula Pesa.
 
JK kakubeba kwa mbeleko hadi china kakutafutia mkopo wa dola billioni, ili uje utujengee nyumba sasa badala ya kujenga umeanza semina elekezi na akina lembeli, ulikuwa hongkong juzi africa ya kusini mala doha sasa mko brunei sijui Qater, hao akina lembeli ubunge ulishakwisha huko kote unafanyanao nini? nilitegemea kukuona una sign mikataba na wakandarasi kuanza ujenzi maramoja.

Kiwanja kawe ulishapewa, fedha unazo, michoro unayo sasa tatizo liko wapi? kama huwezi kudeliver utoke waje wenye huo uwezo. Sasa nakubaliana na Zitto kuwa uwezo wako wa kazi ni mdogo, leo nimeona ITV mko sijui nchi gani huko uarabuni haya munashangaa magorofa tu hamkuwa na mwenyeji hata mmoja, kujifunza gani bila kupata maelezo kutoka kwa mwenyeji.

Aisee.. mbona ulichokiandika kinaonyesha kuwa umetumwa? Sioni mawazo yako kabisa katika jambo unalozungumzia.
Unajua kiundani juu ya mambo yanayoendelea juu ya maeneo ambayo serikali imewapa NHC? Je, wajua kuwa serikali iliwapora waliokuwa wafanyakazi wa kiwanda cha nyama cha Tanganyika Packers?
Wakati mwingine kabla hujaamua kukubali kutumwa lazima umuulize vizuri anayekutuma akuambie kiundani juu ya yale anayotaka kuyafikisha.

Ujinga ni mzigo ndugu. Fuatilia kesi za wananchi walizofungua juu ya serikali kutokana na kuporwa na kuvunjiwa nyumba zao maeneo hayo ndio utapata majibu..
Kuzungumza ni raha sana lakini ni upuuzi kuzungumza mambo usiyokuwa na taarifa nayo na kuyafanya kana kwamba ndio ukweli wenyewe.

Kamwambie aliyekutuma akupe taarifa zaidi ndio uje tena.
 
hivi ww ndio mjinga w mwisho kabisa unazani watu huwa wanakurupuka na ujenzi tuu? hebu jiongeze wewe ukipewa wewe utaweza? kama huna cha kupost ni bora ukae kimya au post mambo yanayo sumbua taifa lako...kodi ya nyumba inakushinda unaanza kupost ujinga......:embarrassed1:
 
JK kakubeba kwa mbeleko hadi china kakutafutia mkopo wa dola billioni, ili uje utujengee nyumba sasa badala ya kujenga umeanza semina elekezi na akina lembeli, ulikuwa hongkong juzi africa ya kusini mala doha sasa mko brunei sijui Qater, hao akina lembeli ubunge ulishakwisha huko kote unafanyanao nini? nilitegemea kukuona una sign mikataba na wakandarasi kuanza ujenzi maramoja.

Kiwanja kawe ulishapewa, fedha unazo, michoro unayo sasa tatizo liko wapi? kama huwezi kudeliver utoke waje wenye huo uwezo. Sasa nakubaliana na Zitto kuwa uwezo wako wa kazi ni mdogo, leo nimeona ITV mko sijui nchi gani huko uarabuni haya munashangaa magorofa tu hamkuwa na mwenyeji hata mmoja, kujifunza gani bila kupata maelezo kutoka kwa mwenyeji.
eddy, kwa akili zako unadhani Mji ule wa kubuni unatosha eneo la Kawe? mji ule ulivyobanywa kwenye Hekari 360 za iliyokuwa Tanganyika packers LTD, including Entrances na maeneo ambayo yalikuwa Pori, kwa sasa hekari hizo 360 hazipo eddy, kupata hekari 130 tu kwa sasa ni kazi kubwa sana, hivyo mnataka raisi wetu aonekane kopo, asigh mikataba wakati Eneo halipo, mbali na shule za msingi, kuna kituo kikubwa cha Polisi, kanisa katoliki tayari wana miliki eneo lao Kubwa pale, bado Mgiriki huyu anayemiliki shule za Fedha ameshamegewa zaidi ya hekari 40 na Serikali "yetu hii sikivu", bado waziri wetu Mwinyi na wazitozito huku baharini wameshajijengea mahekalu yao ya vijisenti vya bilioni, unaongelea eneo gani la kawe wewe, hapa tunapochezea pikipiki zetu au vinyumba viwili vitatu mlivyovibomoa vya maskini wafanyakazi Kiwanda alichokiua baba yake Mchechu?>??

pesa laini, hii pesa madalali mnayoitaka kwa Eneo lipi, Tamaa yenu mbaya, mtaitukanisha nchi bure, kule Kigamboni mmegonga mwamba mmekimbilia kawe, maskini eneo wala halipo, mnajitahidi kulisafisha mnatamani kusogeza bahari haiwezekani, Tamaa yenu mbaya, Mji gani wa kisasa unajengwa hali pembeni kuna mitaa ya uswahilini ya maskinbi wa kawe? ..

sogezeni mradi wenu, sikatai wala sitii mchanga kitumbua chenu ila basi mwonyesheni mwekezaji ardhi isiyo na migogoro inayotosha mradi wake kwanini kumgombanisha na raia? eneo halipo, bado lina makesi kibaoo, mnaleta ujanjaujanja tu..
 
Last edited by a moderator:
eddy, kwa akili zako unadhani Mji ule wa kubuni unatosha eneo la Kawe? mji ule ulivyobanywa kwenye Hekari 360 za iliyokuwa Tanganyika packers LTD, including Entrances na maeneo ambayo yalikuwa Pori, kwa sasa hekari hizo 360 hazipo Eddy, kupata hekari 130 tu kwa sasa ni kazi kubwa sana, hivyo mnataka raisi wetu aonekane kopo, asigh mikataba wakati Eneo halipo, mbali na shule za msingi, kuna kituo kikubwa cha Polisi, kanisa katoliki tayari wana miliki eneo lao Kubwa pale, bado Mgiriki huyu anayemniliki shule za Fedha ameshamegewa zaidi ya hekari 40 na serikali, bado waziri wetu Mwinyi na wazitozito huku baharini wameshajijengea mahekalu yao ya vijisenti vya bilioni, unaongelea eneo gani la kawe wewe, hapa tunapochezea pikipiki zetu au vinyumba viwili vitatu mlivyovibomoa vya maskini wafanyakazi Kiwanda alichokiua baba yake Mchechu?>??

pesa laini, hii pesa madalali mnayoitaka kwa Eneo lipi, Tamaa yenu mbaya, mtaitukanisha nchi bure, kule Kigamboni mmegonga mwamba mmekimbilia kawe, maskini eneo wala halipo, mnajitahidi kulisafisha mnatamani kusogeza bahari haiwezekani, Tamaa yenu mbaya, Mji gani wa kisasa unajengwa hali pembeni kuna mitaa ya uswahilini ya maskinbi wa kawe? ..

sogezeni mradi wenu, sikatai wala sitii mchanga kitumbua chenu ila basi mwonyesheni mwekezaji ardhi isiyo na migogoro inayotosha mradi wake kwanini kumgombanisha na raia? eneo halipo, bado lina makesi kibaoo, mnaleta ujanjaujanja tu..

mkuu nimependa fact zako aisee kuna mambo umeyaongea hapo umetufungua macho watanzania duu hii nchi ni ya ajabu kwanza hawajui maisha magumu ya pale kawe vinyumba vimebanana yaani tukipita na ndege aisee mji unaonekana ni mbaya mno......hahahahahaahaha........

.........kiongozi kipofu atatuongozaje sisi vipofu wengine?.......
 
eddy, kwa akili zako unadhani Mji ule wa kubuni unatosha eneo la Kawe? mji ule ulivyobanywa kwenye Hekari 360 za iliyokuwa Tanganyika packers LTD, including Entrances na maeneo ambayo yalikuwa Pori, kwa sasa hekari hizo 360 hazipo Eddy, kupata hekari 130 tu kwa sasa ni kazi kubwa sana, hivyo mnataka raisi wetu aonekane kopo, asigh mikataba wakati Eneo halipo, mbali na shule za msingi, kuna kituo kikubwa cha Polisi, kanisa katoliki tayari wana miliki eneo lao Kubwa pale, bado Mgiriki huyu anayemniliki shule za Fedha ameshamegewa zaidi ya hekari 40 na serikali, bado waziri wetu Mwinyi na wazitozito huku baharini wameshajijengea mahekalu yao ya vijisenti vya bilioni, unaongelea eneo gani la kawe wewe, hapa tunapochezea pikipiki zetu au vinyumba viwili vitatu mlivyovibomoa vya maskini wafanyakazi Kiwanda alichokiua baba yake Mchechu?>??

pesa laini, hii pesa madalali mnayoitaka kwa Eneo lipi, Tamaa yenu mbaya, mtaitukanisha nchi bure, kule Kigamboni mmegonga mwamba mmekimbilia kawe, maskini eneo wala halipo, mnajitahidi kulisafisha mnatamani kusogeza bahari haiwezekani, Tamaa yenu mbaya, Mji gani wa kisasa unajengwa hali pembeni kuna mitaa ya uswahilini ya maskinbi wa kawe? ..

sogezeni mradi wenu, sikatai wala sitii mchanga kitumbua chenu ila basi mwonyesheni mwekezaji ardhi isiyo na migogoro inayotosha mradi wake kwanini kumgombanisha na raia? eneo halipo, bado lina makesi kibaoo, mnaleta ujanjaujanja tu..

mkuu nimependa fact zako aisee kuna mambo umeyaongea hapo umetufungua macho watanzania duu hii nchi ni ya ajabu kwanza hawajui maisha magumu ya pale kawe vinyumba vimebanana yaani tukipita na ndege aisee mji unaonekana ni mbaya mno......hahahahahaahaha........

.........kiongozi kipofu atatuongozaje sisi vipofu wengine?....... hahahahahahahahahahahaha..................................... anza kuwaza yanatokea Tanga mkuu achana na tamaa ya pesa hiyo ..................
 
Mtoa hoja(mada) hajajipanga na pili lazima aweke bayana juu ya kile anachozungumzia. Je, anazungumzia HISIA au UHALISIA! Lazima ifike nafasi usiwe mshabiki wa mambo ila utafute kwanza kujua ukweli wake na ndipo uanze kupaza sauti na kukemea au kusifia jambo husika.
Bwana Nehemia Kyando Mchechu anajua fika ipo kesi ya msingi mahama kuu juu ya zuio la wananchi waliokua wakazi wa mji wa packers kuhusiana na kubomolewa makazi yao yaliyojengwa kwa muda mrefu tangu enzi za kiwanda cha nyama mahali pale na mpaka leo hii serikali haijalipa na inatumia nguvu kuwaondoa wanyonge, wajane, na baadhi ya familia zilizoishi mahali hapo kwa muda mrefu.

Dhana ya maendeleo sio kuongezeka kwa majengo makubwa au barabara nyingi nchini bali MAENDELEO YA WATU NA HADHI ZAO HUKU UTU UKITUNZWA KAMA MSINGI WA UHAI WA TAIFA. Unaposema tu kuwa mtu kashindwa kazi ulitaka wananchi ambao hawajalipwa stahiki zao wakakae wapi? kwenu? Ni vyema tujifunze kufikiri kwa namna ambayo unajiweka katika hali ya mtu anayedhulumiwa haki yake. Ni kweli ujenzi wa mji ni jambo jema kabisa lakini bado taratibu nyingi hazijafuatwa na mbona huongei juu ya maeneo ya baharini ambayo viongozi wa chama cha Mapinduzi wamegewana?

Kamwambie aliyekutuma aje hapa yeye mwenyewe!!
 
<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=8647" target="_blank">eddy</a></strong>, kwa akili zako unadhani Mji ule wa kubuni unatosha eneo la Kawe? mji ule ulivyobanywa kwenye Hekari 360 za iliyokuwa Tanganyika packers LTD, including Entrances na maeneo ambayo yalikuwa Pori, kwa sasa hekari hizo 360 hazipo Eddy, kupata hekari 130 tu kwa sasa ni kazi kubwa sana, hivyo mnataka raisi wetu aonekane kopo, asigh mikataba wakati Eneo halipo, mbali na shule za msingi, kuna kituo kikubwa cha Polisi, kanisa katoliki tayari wana miliki eneo lao Kubwa pale, bado Mgiriki huyu anayemniliki shule za Fedha ameshamegewa zaidi ya hekari 40 na serikali, bado waziri wetu Mwinyi na wazitozito huku baharini wameshajijengea mahekalu yao ya vijisenti vya bilioni, unaongelea eneo gani la kawe wewe, hapa tunapochezea pikipiki zetu au vinyumba viwili vitatu mlivyovibomoa vya maskini wafanyakazi Kiwanda alichokiua baba yake Mchechu?&gt;??<br>
<br>
pesa laini, hii pesa madalali mnayoitaka kwa Eneo lipi, Tamaa yenu mbaya, mtaitukanisha nchi bure, kule Kigamboni mmegonga mwamba mmekimbilia kawe, maskini eneo wala halipo, mnajitahidi kulisafisha mnatamani kusogeza bahari haiwezekani, Tamaa yenu mbaya, Mji gani wa kisasa unajengwa hali pembeni kuna mitaa ya uswahilini ya maskinbi wa kawe? .. <br>
<br>
sogezeni mradi wenu, sikatai wala sitii mchanga kitumbua chenu ila basi mwonyesheni mwekezaji ardhi isiyo na migogoro inayotosha mradi wake kwanini kumgombanisha na raia? eneo halipo, bado lina makesi kibaoo, mnaleta ujanjaujanja tu..
<br>
<br>mkuu nimependa fact zako aisee kuna mambo umeyaongea hapo umetufungua macho watanzania duu hii nchi ni ya ajabu kwanza hawajui maisha magumu ya pale kawe vinyumba vimebanana yaani tukipita na ndege aisee mji unaonekana ni mbaya mno......hahahahahaahaha........<br><br>.........kiongozi kipofu atatuongozaje sisi vipofu wengine?.......
hahahahahahahahahahahaha.....................................
anza kuwaza yanatokea Tanga mkuu achana na tamaa ya pesa hiyo ..................
 
Back
Top Bottom