Mchawi wa CHADEMA

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
12,256
Reaction score
23,355
Chadema mmevuka milima na mabonde mkiwa jasiri, Leo mnakubali vipi Kutibuliwa vumbi nanyi mnajaa upepo?Je mmerogwa?

JIFUNZENI Kuachilia mambo na kusoti mambo madodo ili mbaki salama, Acheni wenge la kijinga,

Tunatambua sana UMHIMU WA WATU WOTE NDANI YA CHADEMA, Lakini tambueni kwamba umhimu wenu hauwezi kuwa sawa,
Chadema ni kama mwili tu wenye viungo mbalimbali ndani ya chadema kuna wengine mikono, wengine kichwa, wengine miguu, wengine tumbo na wengine matako!

Ni rahisi sana kuyashangaa matako kama hujaamua kukaa, Kichwaa kisijisifu sana na kupuuzia miguuu, macho yasijawe kiburi na kupuuza mikono! SHIKAMANENI MSONGE MBELE!
Tambueni kwamba Kiungo mmoja akiumia HUPELEKEA Kulazwa mwili mzima.

Viungo wote hawa LEMA, SUGU, MSIGWA, BAVICHA, WAZEE, HECHE, LISU n.k Wote ni mhimu sana.

Mbinu ya kuchafuliwa na kugombanishwa haijaanza Leo, Mkiruhusu migogoro ya kijinga mtapoteana!
HESHIMIANENI MSIFORCE NA KUKARIRI nyakati, Yamkini Kipindi cha mbowe kuna staili Mliishi nayo! Kubalianeni na staili nyingine pia.

Mfano. ENZI za magufuli Kwenye jambo la Msingi aliamlisha pesa itoke kwanza halafu michakato ya forodha ifuate nyuma, Haukuwa wizi bali ni Kutambua kipaumbele!
Haiwezekani daraja libomoke leo, ushindwe kulijenga ukisubiri taratibu za kihasibu mwezi mzima, Toa pesa then taratibu zinakuja.

Dosari positive zisitumike kuwagawa kijinga chadema! WAZEE CHADEMA fanyeni kazi kuwaunganisha, Bavicha mmelala mnawaacha viongozi wenu wanabagazwa mitandaoni Wala Hamjibu,

VIONGOZI CHADEMA MKIENDEKEZA UJINGA NA SISI WANACHAMA TUTAFANYA UPUMBAVU
 
TATIZO NDANI YA CHADEMA HAKUNA UWAZI,IMEGEUKA KUWA KOSA PALE KIONGOZI ANAPOKOSOLEWA,HILI NI BAYA SANA,INAPOSHINDIKANA KUJIKOSOA MTAWEZAJE KUKOSOA WENGINE?,NASIKIA WALE WOTE WALIOHOJI MATUMIZI WAMEANZA KUPIGWA PANGA,YAANI WAONDOKE,AJABU KABISA HII,DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA IPO WAPI?,JE WATU HAWA TUTAKAPO KUJA KUWAPA MAMLAKA WATAKUWA NI WATU WA AINA GANI?TUNAFURAHI WANAJITANABAISHA MAPEMA SANA!,
#FALSE PRIEST!
#TUWASIFU CHAUMMA HILI LA UBADHILIFU WAMEMALIZANA NALO!.
 
Well narrated. Sidhani kama Chadema Uongozi ni wajinga.
 
Unahoji kwenye magroup ya whatsapp au kwenye vikao halali vya chama? Tatizo la nidhamu ndicho hakipo chadema,
 
Mkuu umesema jambo kubwa na la muhimu sana kwa kweli.

Ila pia, pima jambo hili kwa undani zaidi.

Mi naisikia kama harufu ya mamluki imetibuka tena kupitia 'sakata' hili.
 
Shutuma ambazo zinatolewa na AnkOlI T wa Mbutu ndiyo ziumize kichwa CDM? Mpigaji yupo kwao Salum na washamtemesha NDOANO ,hizo ni propaganda tu ,fedha za chama zinachangwa kwenye platform za CDM na zinakaguliwa na CAG ,fedha zinazochangwa kwenye mikutano ni za gharama za mafuta/logistics za kuandaa mikutano na zinahesabiwa na watu wote na zinapangiwa BAJETi ,haziendi mifukoni mwa HECHE.

Subiri CAG akikagua fedha zilizoingia kwenye platforms za CHAMA ndiyo KINA ANKALI T waanza propaganda zao.
 
Kila mtu ashinde mechi zake...
 
Hoja yako ni ipi hapa, au ww ndio umepewa hela za kutaka kukivuruda chama, sasa umechukuliwa hatua unakuja kujiuliza hapa?
 
Dosari positive zisitumike kuwagawa kijinga chadema! WAZEE CHADEMA fanyeni kazi kuwaunganisha, Bavicha mmelala mnawaacha viongozi wenu wanabagazwa mitandaoni Wala Hamjibu,✍🏿💪🏿
 
Leo CCM ni wa kuionea huruma Chadema.
 
Umekaribishwa Chadema?
 
Unavyoipenda CHADEMA, kweli nyani hao ni kundule
 
Bavicha wanashindwa vipi kushughulika na wanaobagaza chadrma mitandaoni?
 
Hakuna taasisi yenye uwazi labda uwe sehemu ya juu , hata hao FISIEMU wa chini hawajui chochote huko juu kinachoendelea .
 
Duuuuu!!!!!
Sijui umeandika nini?
Anyway.
Uhuru wa kutoa maoni.
Hili jamaa nalo pumbavu aisee. Yaani hapo napo umeona ni sehemu ya kubishana wakati hoja Iko wazi kabisa. Kwa Hali hii, madaraka mtakayochukua nchi hii ni ya waume zenu tu huko majumbani kwenu lakini si ya Tanzania hii. Pumbaaavu kabisa.
 
Propaganda za kina nyamitako sisi wakongwe tumezipitia huwa tunazipuuza CCM hawajawahi kuwaambia wanachama wao mapato ya chama yanaendaga wapi luzuku ya CCM NI KUBWA lakini hata siku moja makasuku ya lumumba hayajawahi kata kuhoji luzuku ya chama inatumikaje menyewe yapo busy kuuliza tone tone ya chama ambacho hakisimamii hata halimashauli moja tu hapa tz tusiingie mkenge wa haya majambazi yamefilisi nchi hata aibu hayana
 
Pumbavu,.mnawatumia hao wapuuzi kwa kuwaongopea watasema ni demokrasia. Un atoa tuhuma dhibitisha. Kinyume na hapo nenda ccm ukaungane na wanaokutuma.

cdm shikilieni hapo hapo, vyama vingi vimedhoofishwa kwa hao wapuuzi wanaotumika kwa bei rahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…