Mchawi alivyong'ang'aniwa na maiti kasulu....

Mchawi alivyong'ang'aniwa na maiti kasulu....

Inno laka

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2012
Posts
1,616
Reaction score
585
Jana nilisikia kwamba kuna mchawi mmoja huko kasulu.,mkoan kigoma ya kuwa kuna mchawi mmoja alienda makabulin alipofika akafanya yake mara ghafla maiti ikamganda...,ebu mtujuze.!
 
mmmmmmmmmh.....maake habari zingine..lo
 
Hayo ndio mambo ya KIGOMA MWISHO WA RELI.


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Cha umbeya mpe chai ya moto kwenye kikombe cha bati.......................!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Jana nilisikia kwamba kuna mchawi mmoja huko kasulu.,mkoan kigoma ya kuwa kuna mchawi mmoja alienda makabulin alipofika akafanya yake mara ghafla maiti ikamganda...,ebu mtujuze.!
Hebu peleka uzushi wako huko! heading na maelezo haviendani!
 
Kama ulisikia basi masikio yako hayakusikia vizuri na inawezekana ulikuwa unaota,tafakari na chukua hatua.
 
Hahaha, huko kunamfaa zzk tu, mchaga yeyote akipamia ataipatapata nahisi.
 
Jana nilisikia kwamba kuna mchawi mmoja huko kasulu.,mkoan kigoma ya kuwa kuna mchawi mmoja alienda makabulin alipofika akafanya yake mara ghafla maiti ikamganda...,ebu mtujuze.!

ni kweli mkuu , kuna mama mmoja alienda makaburini kufukua maiti iliyozikwa na alipofanikiwa kuitoa ilimganda haikuwezekana kuitua na mpaka watu wakamkuta eneo hilo , na ndipo walipochukua hatua ya kumpeleka polisi na alipofika polisi tu aliweza kuitua , nafikiri ni imani za kishirikina na waandishi wa habari watatoa si muda mrefu on paper especially NIPASHE mr. joctan anafuatilia
 
ni kweli mkuu , kuna mama mmoja alienda makaburini kufukua maiti iliyozikwa na alipofanikiwa kuitoa ilimganda haikuwezekana kuitua na mpaka watu wakamkuta eneo hilo , na ndipo walipochukua hatua ya kumpeleka polisi na alipofika polisi tu aliweza kuitua , nafikiri ni imani za kishirikina na waandishi wa habari watatoa si muda mrefu on paper especially NIPASHE mr. joctan anafuatilia

hata mimi nilisikia jana kwenye breaking newz ya clouds fm
 
huyo hawezi kamwe kurudia huo uwanga!!mchawi kakutana na shetani mwenyewe lol
 
...Clouds?? Did You Say Clouds????? :whistle::whistle:
 
Back
Top Bottom