Mchawi akwama hapa Ilula Iringa

Mchawi akwama hapa Ilula Iringa

Aaron Arsenal

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
24,498
Reaction score
28,720
Kuna Mwanamke amenaswa juu ya paa la nyumba huko Iringa Wilaya ya Kilolo Mji mdogo wa Ilula.

Kama ambavyo inaonekana katika picha akipewa msaada na wasamaria wema baada ya mitambo yake kuzima akijaribu kuruka hewani baada ya Rada ya kuongozea usafiri wao kuleta hitilafu.

Hali iliyosababisha achelewe mpaka kupambazuke ambapo chombo hicho kilishindwa maana kukipambazuka chombo chao kinakosa Mwelekeo.

WACHAWI MSIRUDIE TENA KUPITA KWENYE ANGA ZANGU ....SIO KILA MAHALA MNAJIPITIA TU
FB_IMG_1566111925887.jpeg
FB_IMG_1566111922559.jpeg
FB_IMG_1566111919437.jpeg
FB_IMG_1566111916425.jpeg
 
Kamwene, mbona mweusi hivyo au teja alifanya yake chombo kikalipuka !

Ungo unabidi uchukuliwe kama nyala za serikali, wataalam wetu wapewe wafanyie kazi hiyo technology inaweza kutusidia kama taifa uko mbeleni. Hebu tafakari kwa baridi ya Iringa lakini mama yuko mgongo wazi ina onesha chombo kina heating system.

Fikilia una jeshi linalopaaa kwa ungo, unaweza kwenda shambulia popote pale duniani.
 
Kuna Mwanamke amenaswa juu ya paa la nyumba huko Iringa Wilaya ya Kilolo Mji mdogo wa Ilula.

Kama ambavyo inaonekana katika picha akipewa msaada na wasamaria wema baada ya mitambo yake kuzima akijaribu kuruka hewani baada ya Rada ya kuongozea usafiri wao kuleta hitilafu.

Hali iliyosababisha achelewe mpaka kupambazuke ambapo chombo hicho kilishindwa maana kukipambazuka chombo chao kinakosa Mwelekeo.

WACHAWI MSIRUDIE TENA KUPITA KWENYE ANGA ZANGU ....SIO KILA MAHALA MNAJIPITIA TUView attachment 1184346View attachment 1184347View attachment 1184348View attachment 1184349
Baadae mtaweka namba za simu za mganga, igizo tu hili
 
Hii kitu mi huwa natamani sana ku-prove manake sie wengine tumechanjia ubishi! Hivi haiwezekani mtu kukupa hayo maujanjahalafu ukapaa?!

Halafu Miafrika sijui tumefeli wapi!! Sasa hiyo teknolojia kama ipo si wangei-improve ili iwe inapigisha watu trip za Ulaya kwa njia za panya?! Yaani wale jamaa wanaojazana kwenye mitumbwi kule North Afrika ili kwenda kwa Mzungu, ingekuwa wanapigishwa trip kwa nyungo tu; hakuna cha boda wala hofu ya kukamatwa na askari! Biashara ikikomaa, unaweza kambi Mexico kupigisha Spanish trip za kuingia kwa Trump! Border Patrol wangebaki kukamata shangazi zao tu!!!
 
Hii kitu mi huwa natamani sana ku-prove manake sie wengine tumechanjia ubishi! Hivi haiwezekani mtu kukupa hayo maujanjahalafu ukapaa?!

Halafu Miafrika sijui tumefeli wapi!! Sasa hiyo teknolojia kama ipo si wangei-improve ili iwe inapigisha watu trip za Ulaya kwa njia za panya?! Hivi umeshawahi kujiuliza mtu angetengeneza mamilioni mangapi kwa mwaka?!! Yaani wale jamaa wanaozama baharini kila wakati, wangetumia huu usafiri kwa kujiamini kabisa!
Watafute wachawi wakufundishe ila ukipita kwangu lazima unase
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom