EricMan JF-Expert Member Joined Oct 5, 2017 Posts 3,739 Reaction score 6,598 Jun 6, 2026 #1 Nipo kijijini nimeenda kwa Mwenyekiti kumjuza nipo mtaani kwake, kaniambia kuwa natakiwa kutoa shilingi elfu moja ya mchango wa Mwenge. Sasa najiuliza mchango wa mwenge kivipi? Mwenye ujuzi anijuze.
Nipo kijijini nimeenda kwa Mwenyekiti kumjuza nipo mtaani kwake, kaniambia kuwa natakiwa kutoa shilingi elfu moja ya mchango wa Mwenge. Sasa najiuliza mchango wa mwenge kivipi? Mwenye ujuzi anijuze.
Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 61,985 Reaction score 103,490 Jun 6, 2026 #2 EricMan said: Nipo kijijini nimeenda kwa Mw/kiti kumjuza nipo mtaani kwake, kaniambia kuna elfu moja yamchango wa Mwenge. Sasa najiuliza mchango wa mwenge kivipi? mwenye ujuzi anijuze Click to expand... Ichangie CCM
EricMan said: Nipo kijijini nimeenda kwa Mw/kiti kumjuza nipo mtaani kwake, kaniambia kuna elfu moja yamchango wa Mwenge. Sasa najiuliza mchango wa mwenge kivipi? mwenye ujuzi anijuze Click to expand... Ichangie CCM
EricMan JF-Expert Member Joined Oct 5, 2017 Posts 3,739 Reaction score 6,598 Jun 6, 2026 Thread starter #3 Yoda said: Ichangie CCM Click to expand... kwani hakuna bajeti ya Mwenge?
Mtili wandu JF-Expert Member Joined Dec 15, 2012 Posts 10,487 Reaction score 15,127 Jun 6, 2026 #4 Eeeenhh mnaendaga kuripoti kwa M/kiti kumbe. Hayo mambo si yaliishaga na uongozi wa balozi Enzi zile.
Eeeenhh mnaendaga kuripoti kwa M/kiti kumbe. Hayo mambo si yaliishaga na uongozi wa balozi Enzi zile.
EricMan JF-Expert Member Joined Oct 5, 2017 Posts 3,739 Reaction score 6,598 Jun 6, 2026 Thread starter #5 Mtili wandu said: Eeeenhh mnaendaga kuripoti kwa M/kiti kumbe. Hayo mambo si yaliishaga na uongozi wa balozi Enzi zile. Click to expand... na mimi nimeyakuta uku kijiji mwaka uu. nikautaratibu kazuri tu
Mtili wandu said: Eeeenhh mnaendaga kuripoti kwa M/kiti kumbe. Hayo mambo si yaliishaga na uongozi wa balozi Enzi zile. Click to expand... na mimi nimeyakuta uku kijiji mwaka uu. nikautaratibu kazuri tu
Suleiman 1988 Senior Member Joined Mar 27, 2026 Posts 101 Reaction score 168 Jun 6, 2026 #6 Ni kwa mujibu wa sheria kwenda kwa mwenyekiti. Kujitambulisha ?
Paroco JF-Expert Member Joined Dec 24, 2017 Posts 3,039 Reaction score 12,145 Jun 6, 2026 #7 EricMan said: Nipo kijijini nimeenda kwa Mw/kiti kumjuza nipo mtaani kwake, kaniambia kuna elfu moja yamchango wa Mwenge. Sasa najiuliza mchango wa mwenge kivipi? mwenye ujuzi anijuze Click to expand... Ungemwambia tuu Unaliwa weweeπππππ Mwenge wajiamulie kukimbiza wao wewe uchangie kwa namna gaani!!!?
EricMan said: Nipo kijijini nimeenda kwa Mw/kiti kumjuza nipo mtaani kwake, kaniambia kuna elfu moja yamchango wa Mwenge. Sasa najiuliza mchango wa mwenge kivipi? mwenye ujuzi anijuze Click to expand... Ungemwambia tuu Unaliwa weweeπππππ Mwenge wajiamulie kukimbiza wao wewe uchangie kwa namna gaani!!!?
Waufukweni JF-Expert Member Joined May 16, 2024 Posts 5,079 Reaction score 17,137 Jun 29, 2026 #8 Kwa sheria ipi?