Mchango Wa mawazo

Mchango Wa mawazo

elibarikimollel310

Senior Member
Joined
Oct 9, 2017
Posts
136
Reaction score
101
Hodi humu wanajamvi..
natumai mu wazima
msaidieni ushauri huyu Jamaal yangu
div IV ya 17 form 6 anaweza kusoma degree??nitashukuru kwa mawazo mazuri toka kwenu,

nawasilisha.....
 
Huyo hawez kusoma degree maana ni kilaza wa kutupwa

Mwambie afanye biashara nyingine mfano kuchoma mahind atatoka
 
Huyo ni Jamaa yako kivipi? Kwanini umuombee wewe ushauri badala ya yeye kuja kuomba mwenyewe ikiwa ndo mhitaji? Au wewe ndo Jembe lake?
Anyway, mwambie aanze na Diploma then ndo aende kujiunga na Shahada, ila kwa Tanzania hawezi kusoma Shahada kwa Alama hizo!
 
Hodi humu wanajamvi..
natumai mu wazima
msaidieni ushauri huyu Jamaal yangu
div IV ya 17 form 6 anaweza kusoma degree??nitashukuru kwa mawazo mazuri toka kwenu,

nawasilisha.....
Najua ni wewe mkuu, kwa hayo matokeo huwezi aisee.
 
mwambie arisit na asome aachane na lile tunda la mti wa katikati
 
Back
Top Bottom