Mchango wa Halima Mdee kuijenga Chadema ni sawa na Wajumbe wote waliobaki Chadema ukimtoa Mbowe

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Daaaah yaaan chama kife kisa mdee wameomdoka wangapi na akijafa ndo aweee mdeee mdeee ana ninii ukimlinganisha na slaaa au zito mbona walivoondoka hakikufa any way ayo maoni yako ngoja tuyaheshimu#utasubirisana
Sasahivi unasongea nini, tangia ameondoka Slaa na Zitto chama kumeisha ongezeka Wabunge wangapi na wanachama kama sio kupungua?Slaa anaondoka aliacha chadema ina wabunge zaidi ya 70 sasahivi kuna mbunge mmoja,alafu unasema kuondoa kwa Slaa akuna kilichopingua.Ccm pamoja na ukubwa Wake ukuti wanafanya ujinga kama huu kama wamerudisha akina Membe ambao walikuwa wamejiunga na vyama vingine.Kesho ukifanyika uchaguzi utasikia tumeibiwa kura, wakati mnafukuza wakongwe na wazoefu ktk siasa,Ccm itaongoza milele kwa ujinga huu
 
Mdee ni kichwa saana mkuu, mchango wa Mdee pale Chadema hauwezi linganishwa na yeyote yule ukimtoa Mbowe
Mchango wake mkubwa si kigezo cha yeye kufanya mambo ya hovyo ya kuhatarisha uhai wa Chama.

Unataka kusema kwamba Mdee anaweza kufanya usaliti na chama kikae kimya kwasababu ni mtu muhimu.

Fikiria watu walienda kutolewa gerezani usiku ili waende kuapishwa. Ulikuwa ni unajisi mkubwa sana wa Mdee kushirikiana na maadui wa chama, CCM na MAGUFULI na Ndugai ili kukinajisi chama.

Mdee hawezi kuwa mkubwa kuliko Chadema. Waliondoka wakina Walid Kaburu, Slaa na wengine lkn mpaka leo chama kiko imara. Hii inaonyesha ni chama ambacho ni taasisi imara yenye mifumo imara pia.

Vyama vyote vya upinzani, inahitaji nguvu na uimara kuishi. Leo huwezi kusema ACT , CUF, Nccr etc ni washindani wa kweli wa ccm. Hawana misuli imara ya kitaasisi. Zitto Ni mfano hai, Zitto si mpinzani bali ni mshirika wa karibu wa CCM, na wakati mwingine wanamtumia kupush agenda za CCM.

Suluhu ya Mdee na wenzake ilikuwa kuomba msamaha,kukubali walikosea,walijikwaa,ili km Chama waanze upya,lkn Mdee ni jeuri,yy na wenzake wanajiona wako juu ya chama.Chadema km taasisi imara ilifanya kazi yake ya kudhibiti hali bila kujali ni nani anaadhibiwa.Ni uthubutu.

Mahali popote eneo la kazi hata ktk familia bila misingi imara ya kinidhamu kinachobaki ni vurugu na uwendawazimu mtupu.Nidhamu ni kila kitu.Unaipata nidhamu pale sheria,taratibu,kanuni zinapofuatwa au kusimamiwa kikamilifu.Kuomba msamaha ni kuonyesha nidhamu.

Chadema ni imani.
 
Ukweli lazima usemwe.
Chadema ilipofikia inaelekea kufa kabisa katika siasa za vyama vingi Tanzania.

Chadema haikujengwa kwa sera bali ilijengwa na umahiri , weledi na uwezo wa mtu mmoja mmoja.

Alipo ondoka Zitto ndani ya Chadema, chama kiliyumba na hakikuwahi kukaa sawa mpaka sasa. Dr Slaah alijitahidi saana kuziba pengo la bwana Zitto.

Alipo ondoka Dr Slaah, Chadema sio kwamba kiliyumba tu bali kilipoteza mwelekeo, kimekuwa Chama cha matukio tu, kila wanachojaribu kufanya wanadondokea pua, movement zao zote zinafeli.

Sasa wameamua kumuondoa Halima Mdee na wenzake.
Hakuna asiyetambua uwezo binafsi wa Halima Mdee katika uwanja wa siasa za Tanzania. Mdee amekijenga chama, amefanya akina mama wengi wajiunge na siasa za upinzani.

Hakuna mwanamke yeyote hapa Tanzania ambaye anaweza lingana na Mdee katika siasa za upinzani. Mchango wa Mdee kwa Chadema ukimtoa Mbowe ni sawa na Wanachama wote waliobaki Chadema.

Katika vita vyote ulivyowahi kupigana Mh. Mbowe hii ya akina Halima Mdee na wenzake umeshindwa.

Ni chuki tu zimewaondoa Chadema akina Mdee na wenzake .
Hao akina Hilda si level ya Mdee.

Chadema kinaenda kuzikwa moja kwa moja kwenye siasa za Tanzania
#MUNGU IBARIKI TANZANIA #MUNGU MBARIKI MH. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA #SSH
Hakuna mwanamke yeyote hapa Tanzania ambaye anaweza lingana na Mdee katika siasa za upinzani. Mchango wa Mdee kwa Chadema ukimtoa Mbowe ni sawa na Wanachama wote waliobaki Chadema.
giphy.gif
 
Sasahivi unasongea nini, tangia ameondoka Slaa na Zitto chama kumeisha ongezeka Wabunge wangapi na wanachama kama sio kupungua?Slaa anaondoka aliacha chadema ina wabunge zaidi ya 70 sasahivi kuna mbunge mmoja,alafu unasema kuondoa kwa Slaa akuna kilichopingua.Ccm pamoja na ukubwa Wake ukuti wanafanya ujinga kama huu kama wamerudisha akina Membe ambao walikuwa wamejiunga na vyama vingine.Kesho ukifanyika uchaguzi utasikia tumeibiwa kura, wakati mnafukuza wakongwe na wazoefu ktk siasa,Ccm itaongoza milele kwa ujinga huu
Dr slaa aliondoka kabla ya uchaguzi mkuu 2015 na baada ya uchaguzi chama kikapata wabunge wengi tu, mpaka CCM wakawa wanawarubuni waunge mkono juhudi.

2020 kama siyo figisu za 'Tanzania ya kijani' wangepata wabunge/madiwani wengi zaidi tatizo tunaangalia kumjenga mtu mmoja mmoja badala ya kujenga taasisi imara
 
Ukweli lazima usemwe.
Chadema ilipofikia inaelekea kufa kabisa katika siasa za vyama vingi Tanzania.

Chadema haikujengwa kwa sera bali ilijengwa na umahiri , weledi na uwezo wa mtu mmoja mmoja.

Alipo ondoka Zitto ndani ya Chadema, chama kiliyumba na hakikuwahi kukaa sawa mpaka sasa. Dr Slaah alijitahidi saana kuziba pengo la bwana Zitto.

Alipo ondoka Dr Slaah, Chadema sio kwamba kiliyumba tu bali kilipoteza mwelekeo, kimekuwa Chama cha matukio tu, kila wanachojaribu kufanya wanadondokea pua, movement zao zote zinafeli.

Sasa wameamua kumuondoa Halima Mdee na wenzake.
Hakuna asiyetambua uwezo binafsi wa Halima Mdee katika uwanja wa siasa za Tanzania. Mdee amekijenga chama, amefanya akina mama wengi wajiunge na siasa za upinzani.

Hakuna mwanamke yeyote hapa Tanzania ambaye anaweza lingana na Mdee katika siasa za upinzani. Mchango wa Mdee kwa Chadema ukimtoa Mbowe ni sawa na Wanachama wote waliobaki Chadema.

Katika vita vyote ulivyowahi kupigana Mh. Mbowe hii ya akina Halima Mdee na wenzake umeshindwa.

Ni chuki tu zimewaondoa Chadema akina Mdee na wenzake .
Hao akina Hilda si level ya Mdee.

Chadema kinaenda kuzikwa moja kwa moja kwenye siasa za Tanzania
#MUNGU IBARIKI TANZANIA #MUNGU MBARIKI MH. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA #SSH
Maelezo yako labda kwa makusudi au ndiyo uwezo wako wa uelewa lakini umeacha kabisa kuzungumzia vitu au watu ambao uwepo wao CHADEMA ungekisambaratisha. Unafiki, usaliti, back bitting pamoja na kwenda kinyume na mipango ya kulisukuma 'gurudumu' kwa PAMOJA ndiyo ingredients essential ambazo hao uliowatolea mifano kuonyesha umuhimu wao hawana yaani kwa wao kuendelea kuwepo kungeshaleta mpasuko mkubwa ndani ya CHADEMA.
Mshikamo hasa kwa wale walio mbele ni muhimu sana hata kama wana tofauti behind the scenes lakini wanapotoka mbele lazima wawe wamefikia common ground ili watu wao wawaelewe na hapo ndipo Mbowe anaowazidi wote.
Mbowe hayuko vizuri sana kwenye siasa za majukwaani lakini kwenye strategies hana mfano, wakati anachukua uenyekiti chama hakikuwa kama kilivyo leo na bila umahiri wake kama captain wa jahazi basi CHADEMA kingekuwa kama hivi vyama vingine vya opposition ambavyo havina impact yoyote kwenye ulingo wa siasa za Tz.
 
Hivi kwanini wanaoota ndoto za Alinacha kuhusu CDM wanazidi kuongezeka siku hadi siku?
Hawa wanaweweseka, baada ya mipango yao miovu kuwa inafeli kila siku. Mdee na wenzake kufukuzwa ni kufeli KWA mipango yao. Sasa kinachotokea wanatumia kufukuzwa kwao km plan b na agenda yao mpya ya kuendelea kupush agenda zao za kuleta mtafaruku,baada ya agenda ya kukisambaratisha chama kupitia kina Mdee kufeli. Hii ni u turn.
 
Ukweli lazima usemwe.
Chadema ilipofikia inaelekea kufa kabisa katika siasa za vyama vingi Tanzania.

Chadema haikujengwa kwa sera bali ilijengwa na umahiri , weledi na uwezo wa mtu mmoja mmoja.

Alipo ondoka Zitto ndani ya Chadema, chama kiliyumba na hakikuwahi kukaa sawa mpaka sasa. Dr Slaah alijitahidi saana kuziba pengo la bwana Zitto.

Alipo ondoka Dr Slaah, Chadema sio kwamba kiliyumba tu bali kilipoteza mwelekeo, kimekuwa Chama cha matukio tu, kila wanachojaribu kufanya wanadondokea pua, movement zao zote zinafeli.

Sasa wameamua kumuondoa Halima Mdee na wenzake.
Hakuna asiyetambua uwezo binafsi wa Halima Mdee katika uwanja wa siasa za Tanzania. Mdee amekijenga chama, amefanya akina mama wengi wajiunge na siasa za upinzani.

Hakuna mwanamke yeyote hapa Tanzania ambaye anaweza lingana na Mdee katika siasa za upinzani. Mchango wa Mdee kwa Chadema ukimtoa Mbowe ni sawa na Wanachama wote waliobaki Chadema.

Katika vita vyote ulivyowahi kupigana Mh. Mbowe hii ya akina Halima Mdee na wenzake umeshindwa.

Ni chuki tu zimewaondoa Chadema akina Mdee na wenzake .
Hao akina Hilda si level ya Mdee.

Chadema kinaenda kuzikwa moja kwa moja kwenye siasa za Tanzania
#MUNGU IBARIKI TANZANIA #MUNGU MBARIKI MH. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA #SSH
Hizo kauli za Cdm kufa kisa wamefukuza wanachama zimeanza kitambo, huu ni mwendelezo tu.

Yericko Nyerere zitto junior JokaKuu
 
Ukweli lazima usemwe.
Chadema ilipofikia inaelekea kufa kabisa katika siasa za vyama vingi Tanzania.

Chadema haikujengwa kwa sera bali ilijengwa na umahiri , weledi na uwezo wa mtu mmoja mmoja.

Alipo ondoka Zitto ndani ya Chadema, chama kiliyumba na hakikuwahi kukaa sawa mpaka sasa. Dr Slaah alijitahidi saana kuziba pengo la bwana Zitto.

Alipo ondoka Dr Slaah, Chadema sio kwamba kiliyumba tu bali kilipoteza mwelekeo, kimekuwa Chama cha matukio tu, kila wanachojaribu kufanya wanadondokea pua, movement zao zote zinafeli.

Sasa wameamua kumuondoa Halima Mdee na wenzake.
Hakuna asiyetambua uwezo binafsi wa Halima Mdee katika uwanja wa siasa za Tanzania. Mdee amekijenga chama, amefanya akina mama wengi wajiunge na siasa za upinzani.

Hakuna mwanamke yeyote hapa Tanzania ambaye anaweza lingana na Mdee katika siasa za upinzani. Mchango wa Mdee kwa Chadema ukimtoa Mbowe ni sawa na Wanachama wote waliobaki Chadema.

Katika vita vyote ulivyowahi kupigana Mh. Mbowe hii ya akina Halima Mdee na wenzake umeshindwa.

Ni chuki tu zimewaondoa Chadema akina Mdee na wenzake .
Hao akina Hilda si level ya Mdee.

Chadema kinaenda kuzikwa moja kwa moja kwenye siasa za Tanzania
#MUNGU IBARIKI TANZANIA #MUNGU MBARIKI MH. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA #SSH
Kwa hiyo kama alikijenga akikisaliti tukae kimya?wewe chawa mjinga
 
Hawa wanaweweseka, baada ya mipango yao miovu kuwa inafeli kila siku. Mdee na wenzake kufukuzwa ni kufeli KWA mipango yao. Sasa kinachotokea wanatumia plan b kuwafukuza km agenda yao mpya baada ya kukisambaratisha chama kufeli. Hii ni u turn.
Ni wivu tu wa baadhi ya Wanaume ndio maana mmewafukuza akina Mdee na wenzake. Hakuna Mipango yeyote inayoweza kupangwa juu ya Chama kilichokufa.
 
Mkuu nashukuru umekubali kuwa Halima yuko vizuri kichwani
Kwenye minyukano ya kisiasa yenye figisu nyingi loyalty ndiyo kitu muhimu cha kwanza na Mzee Mdee amefeli completely kwenye hicho kipengele cha loyalty, kama huna sifa hiyo wewe ni kirusi kinachopaswa kuondolewa mara moja.
 
Ikumbuke Chadema iliyokuwa na
1.Dr Slaah
2.Zitto
3. Halima Mdee
Mkuu hakuna Chama hapo
Mkuu you made your point kaleni hizo hela za mzee Mdee na LIFE PATNER wake Bulaya kabla hazijaisha , hamieni Act mkatikise nchi..matapeli yameondoka and thats good kabisa,na hiki chama si tuliambiwa kishakufa?huyo Mzee mde si alipigwa chini na Gwajima? au? hao covid 19 si karibu wote walishindwa uchaguzi sasa u special wao uko wapi?
 
Naunga mkono hoja, Halima Mdee, kwanza ni born & breed Chadema, pili ameigharimia Chadema kwa machozi, jasho na damu, hivyo kwa vile ameonewa, karma yake ni kubwa, Chadema itatandikwa bakora za karma lakini pia wahusika na dhulma hiyo, karma haita waacha salama, bakora zitawatembelea.
P
Acha uchuroo mzee P

Kwa uhuni ule ulitaka abakie chadema kwasababu ni Born and breed kwa chadema
 
Hivi kwanini wanaoota ndoto za Alinacha kuhusu CDM wanazidi kuongezeka siku hadi siku?
Wishful thinking, nadhani waachwe tu waendelee kuota.
Kichekesho ni kuwa ndoto zao zinasababishwa na hasira za kwanini CDM hakifi licha ya jitihada zote za kukiua, matamanio yao yaliyobaki ni kuwa kipate kiongozi sampuli za Zitto au Slaa ili wakikabidhi 'mazima' kwa CCM. Watu loyal kwa chama kama alivyo Mbowe ni ngumu sana kuwapata.
 
Ikumbuke Chadema iliyokuwa na
1.Dr Slaah
2.Zitto
3. Halima Mdee
Mkuu hakuna Chama hapo
Chadema ni taasisi imara sana tofauti na unavyofikiriya. Yote unayoyaona leo ni dhahiri hiki Chama kina mifumo ya ndani iliyo imara na inayofanya kazi. Linganisha na vyama vingine km ACT, CUF, nccr. Hawa ni km washirika wa CCM hawana mifumo inayofanya kazi kupambana na dola.

CCM na dola yote wako ktk mapambano na Chadema Tena yasiyokoma, kwasababu hawa ndiyo walio hai..

Aliyeidhoofisha Chadema Tena kidogo ni dikteta uchwara Magu. Lkn si kuondoka Zitto wala Slaa.

Mpaka leo CCM wanaogopa siasa za wazi . Mtaji wa chama cha siasa ni wananchi na CCM hawataki Chadema iwafikie wananchi kupush agenda zao.

Jaribu kuruhusu mikutano km zamani uone ni chama gani kiko hoi mbele ya wananchi km siyo CCM.

CCM wanaishi kwa nguvu ya dola. Siyo nguvu ya hoja tena walishachoka sana.
 
Kwenye minyukano ya kisiasa yenye figisu nyingi loyalty ndiyo kitu muhimu cha kwanza, huna sifa hiyo wewe ni kirusi kinachopaswa kuondolewa mara moja.
Hakuna kitu kibaya kama maamuzi ya kukomoana mkuu, Chama hakijengwi kwa kukomoana.
It was wise enough Mbowe aokoe hili..
 
Back
Top Bottom