Hapana chezea foolish age!unaweza akaambulia mvua ya matusi!!Am not that much kid...am a grown up girl (woman) ofcourse..sawaa!!
Hapana chezea foolish age!unaweza akaambulia mvua ya matusi!!Am not that much kid...am a grown up girl (woman) ofcourse..sawaa!!
Hata mimi nimekitafuta sana sikionileo mods wameondoa kitufe
![]()
Maisha ya mapenzi ni ya ajabu sana..!
Utakayekuja kumpenda kwa moyo wako wote, utashangaa wala hana muda na wewe..!
yap cz mioyo haifanani sidhan kama ni lazima endapo nimekupenda na ww uanze kunipenda. ila wakati unamtumia uo ujumbe lazima uwe umerelax hivi........realy???
kabisa asee..Some1 is speaking from Xprnce
Some1 is speaking from Xprnce