Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
miaka ishirini nadhani bado upo chini ya wazazi na ikiwezekana bado unasoma
mapenzi yaweke kwanza kando tengeneza future yako binti huna feeling na huyo mkaka kwasababu huyo sio mungu aliekuandalia yupo chaguo lako utakutana nae baaada ya kuwa mature enough
mwambie huyo mkaka ukweli kwamba huo uhusiano hauwezi kuendelea
mapenzi yaweke kwanza kando tengeneza future yako binti huna feeling na huyo mkaka kwasababu huyo sio mungu aliekuandalia yupo chaguo lako utakutana nae baaada ya kuwa mature enough
mwambie huyo mkaka ukweli kwamba huo uhusiano hauwezi kuendelea