Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi

Huu hapa ni mchanganuo wa kulima ekari moja ya mahindi kwa sasa hivi
1. Kukodi shamba ekari 1 - 70,000/-
2. Kulima shamba mara 2 - 60,000/-
3. Mbegu pakiti 6 sawa kg 12 - 72,000/-
4. Kupanda mahindi - 30,000/-
5. Mbolea 2 - 140,000/-
6. Palizi 2 - 60,000/-
7. Kuweka mbolea - 30,000/-
8. Kuvuna/kupukuchua/mifuko - 100,0000/-

Jumla ya gharama huwa ni 550,000/- ~ 600,000/-

Mavuno
Mara nyingi mavuno hutegemea ubora wa ardhi na matunzo ya mazuri ya mazao, lakini mara nyingi ekari moja ya mahindi hutoa gunia 15 ~ 25, sasa ukipata kiwango cha chini gunia 15 ukauza kwa bei ya sasa 80,000/- unapata Tsh 1,200,000/- faida ya Tsh 600,000 kwa ekari.
mkuu kg 12 za mbegu ni sawa na miche 24,000 kwny eka moja inawezekana japo wengi tupo kwny miche 17,000 kwa spacing ya 30x90cm
Kitu tunachokosea mara kwa mara ni mbolea, kama tuna ambiwa kila mche tuweke grams 5 ya kila mbole meaning 5x24,000= 120,000gm ya mbolea sawa na 120kg = sawa na mifuko miwili na nusu kwa maana hiyo kwa eka 1 utahitaji jumla mifuko 5 ya mbolea.
Hata kwa miche 17,000 bado utahitaji kilo 170 ya mbolea jumla ni karibia mifuko 3.5 Ukiachilia mbali mvua pia nadhan tunashindwa kufanya vzr kwny kilimo kwa kukosa taarifa muhimu zinazopelekea kupata mazao hafifu.
Na anza rasmi kulima mwaka huu ntajitahidi kufata maelekezo yote ya kitaalamu pamoja na kushare taarifa kwa wanavijiji lilipo shamba ili kubalance stories nitajitahidi kuweka hapa jukwaa pendwa
 
Pole sana,hawaweki wazi changamoto ya hali ya hewa.
Kuna mikoa mvua hazijawahi goma mwaka 15 nilishuhudia mvua kugoma mwaka 1 napo ni uzembe wa wakulima maana walipanda mahindi ardhi ikiwa kavu na hawapigi sumu ya funza.
Tembea mkuu, hii nchi ni kubwa kana upo shinyanga sawa kukutana na ukame.
Saa huzi muda huu hapa nilipo watu wanapanda mahindi na yataota yatakutana na mvua mwezi wa 10.
Sio kila mkulima wa Tanzania anakutana na changamoto ya hali ya hewa labda bei.
 
Kuna mikoa mvua hazijawahi goma mwaka 15 nilishuhudia mvua kuhoma mwaka 1 napo ni uzembe wa wakulima maaba wslipanda mahindi ardhi ikiwa kavu na hawapigi sumu ya funza.
Tembea mkuu, hii nchi ni kubwa kana upo shinyanga sawa kukutana na ukame.
Saa huxi muda huu hapa nilipo watu wanapanda mahindi na yatsota yatakutaba na mvus mwezi wa 10.
Sio kila mkulima wa Tanzania anakutana na changamoto ya hali ya hewa labda bei.
Umewahi kulima mahindi?
 
Umewahi kulima mahindi?
Ina uhusiamo gani na maoni yangu. Jaribu kusoma kwa kuelewa.
Nimeandika kuna mikoa haina changamoto ya mvua wewe unaniuliza swali gani sasa hilo. Ungeniuliza mikoa hiyo ni ipi? sio ulicho uliza hakina mantiki ktk hoja yangu.
 
Kwa huku niliko, nimekodi ekari 3 Tsh 80,000/
Palizi ya kwanza kila ekari Tsh 21000 mara 3 63000

Ya pili napiga dawa ya magugu 25 kila ekari pamoja na mpigaji.

25000×3= 75000
Mbegu 30 Kg kila kg 10 ni 70000 jumla 210,000/
Kuvuna kila ekari ni 15000 mara 3 45000

Kupiga kila gunia 1000,
Watani gunia 60, so 60,000.

Mbolea mifuko 9 *70000

80000+65000+75000+210000+45000+630000
Total 115000, naongeza laki dharura. So 1,205,000.

Minimum bei ni 50k mara 60 ni 3M.
Huwa unatumia mbolea aina gani chief?
 
Location tafadhali
Kwa huku niliko, nimekodi ekari 3 Tsh 80,000/
Palizi ya kwanza kila ekari Tsh 21000 mara 3 63000

Ya pili napiga dawa ya magugu 25 kila ekari pamoja na mpigaji.

25000×3= 75000
Mbegu 30 Kg kila kg 10 ni 70000 jumla 210,000/
Kuvuna kila ekari ni 15000 mara 3 45000

Kupiga kila gunia 1000,
Watani gunia 60, so 60,000.

Mbolea mifuko 9 *70000

80000+65000+75000+210000+45000+630000
Total 115000, naongeza laki dharura. So 1,205,000.

Minimum bei ni 50k mara 60 ni 3M.
 
Huu hapa ni mchanganuo wa kulima ekari moja ya mahindi kwa sasa hivi
1. Kukodi shamba ekari 1 - 70,000/-
2. Kulima shamba mara 2 - 60,000/-
3. Mbegu pakiti 6 sawa kg 12 - 72,000/-
4. Kupanda mahindi - 30,000/-
5. Mbolea 2 - 140,000/-
6. Palizi 2 - 60,000/-
7. Kuweka mbolea - 30,000/-
8. Kuvuna/kupukuchua/mifuko - 100,0000/-

Jumla ya gharama huwa ni 550,000/- ~ 600,000/-

Mavuno
Mara nyingi mavuno hutegemea ubora wa ardhi na matunzo ya mazuri ya mazao, lakini mara nyingi ekari moja ya mahindi hutoa gunia 15 ~ 25, sasa ukipata kiwango cha chini gunia 15 ukauza kwa bei ya sasa 80,000/- unapata Tsh 1,200,000/- faida ya Tsh 600,000 kwa ekari.
Mkuu, Waziri Bashe si kasema kuandaa shamba tu ni milioni 16 kwa hekta?
 
Ina uhusiamo gani na maoni yangu. Jaribu kusoma kwa kuelewa.
Nimeandika kuna mikoa haina changamoto ya mvua wewe unaniuliza swali gani sasa hilo. Ungeniuliza mikoa hiyo ni ipi? sio ulicho uliza hakina mantiki ktk hoja yangu.
Mkuu hebu saidia kujua mikoa ambayo haina changamoto za mvua
 
Mkuu hebu saidia kujua mikoa ambayo haina changamoto za mvua
Mikoa isiopata njaa na misaada ya chakula hio ndio ina mvua nyingi na mavuno mengi.
Rejea mwaka jana ni mikoa gani ilipelekewa mahindi ya bei rahisi ya serikali, hio ndio ina changamoto ya mvua ikiwemo na mkoa unsoishi wewe maana unalalamika mazao yako kukauka.
Mkoa ninaoishi mimi mwaka wa 15 sijawahi ona mahindi yamepandwa na kukauka kwa jua.
Ukisema changamoyo ya mafuriko na magonjwa nitakuelewa, mfano kyela,kilombero wao hasara kubwa ni mafuriko sio ukame. Hama uko mkuu using'nganie sehemu yenye ukame wakati kuna mikoa naji wao hawana pa kuyapeleka zaidi ya kutiritika mtoni. Njoo mkoa ninaoishi mimi mashamba bei chini mito kama yote.
Hio mito jaba Ryaja Rufiji, Rubuma,Nakafalasi,kagera nk unafikiri maji yake yabatoja wapi ?
My dear jf member, jigrafia tuliofunfishwa shike itusaidia kuijua nchi hii na kujopangia maisha.
Kuna mnyanwezi mmoja nilikutaba nae kwenye treni alisimilua kywa yeye amegama kwao urambo kaenda kilosa kutokana na changamoto za maji na masoko.
Kilosa wamechimba visima wanalima mda wote, masika na kiangazi, usizidi kupoteza mda move.
 
Mkuu hebu saidia kujua mikoa ambayo haina changamoto za mvua
Kwa haraka haraka naweza sema mikoa kama Ruvuma, Njombe, Iringa, Mbeya, Rukwa, Katavi, Songwe, Kagera, Kilimanjaro, Arusha, Tanga mvua huwa haisumbui sana
 
Back
Top Bottom