Mchanga unaotumika wakati wa mwenge

Mchanga unaotumika wakati wa mwenge

Natafuta kiki

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2016
Posts
913
Reaction score
1,297
Ninataka kujua hivi:
Wakati wa kukimbiza mwenge utakuta sehemu wanayofikia lazima watenge chumba maalum cha kuhifadhia mchanga. Wakiwa wanaendelea na tukio la mwenge sehemu husika utawaona maaskari wawili au watatu wanaenda kwenye kile chumba chenye mchanga

Je ni nini huwa kinafanyika huko
 
hebu Kasome Historia ya forojo ganze na wenzie.
mtu mpaka ana fanya zindiko, Kisha afariki, ndo ujue sio mchezo
"Baba, sisi tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau"

Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl.Nyerere, Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa Mwenge wa Uhuru.
 
Ninataka kujua hivi:
Wakati wa kukimbiza mwenge utakuta sehemu wanayofikia lazima watenge chumba maalum cha kuhifadhia mchanga. Wakiwa wanaendelea na tukio la mwenge sehemu husika utawaona maaskari wawili au watatu wanaenda kwenye kile chumba chenye mchanga

Je ni nini huwa kinafanyika huko
zindiko.
 
Ninataka kujua hivi:
Wakati wa kukimbiza mwenge utakuta sehemu wanayofikia lazima watenge chumba maalum cha kuhifadhia mchanga. Wakiwa wanaendelea na tukio la mwenge sehemu husika utawaona maaskari wawili au watatu wanaenda kwenye kile chumba chenye mchanga

Je ni nini huwa kinafanyika huko
Nadhani mchanga ni wa tahadhari ajali ya moto ikitokea. Moto wa mafuta hauzimwi na maji.

Amandla...
 
<iframe width="640" height="360" src="
View: https://www.youtube.com/embed/tCVTUOnIs1Q" title="🔴[Live] : TUNDU LISSU ATUWA WILAYA YA MPWAPWA JIMBO LA KIBAKWE KATIKA VIWANJA VYA KIBAKWE SOKONI" frameborder="0" allow="accelerometer; autoplay; clipboard-write; encrypted-media; gyroscope; picture-in-picture; web-share" referrerpolicy="strict-origin-when-cross-origin" allowfullscreen></iframe>
 
Ninataka kujua hivi:
Wakati wa kukimbiza mwenge utakuta sehemu wanayofikia lazima watenge chumba maalum cha kuhifadhia mchanga. Wakiwa wanaendelea na tukio la mwenge sehemu husika utawaona maaskari wawili au watatu wanaenda kwenye kile chumba chenye mchanga

Je ni nini huwa kinafanyika huko
Tulishasema Tena na Tena,mwenge ni madhabahu ya kishirikina! Na ndio laana kwa taifa! Taifa halistawi kwasababu ya huu mwenge. Tumemwacha Mungu wa mbinguni aliyeziumba mbingu na nchi tukaabudu miungu. Anayeleta tumaini pasipo na tumaini ni Mungu pekee. Analinda mipaka ya nchi ni Mungu pekee sio mwenge. Nimelipokea neno Hilo la Isaya 50:11. Na ndio maana watanzania wengi tunalala kwa huzuni.
 
Ninataka kujua hivi:
Wakati wa kukimbiza mwenge utakuta sehemu wanayofikia lazima watenge chumba maalum cha kuhifadhia mchanga. Wakiwa wanaendelea na tukio la mwenge sehemu husika utawaona maaskari wawili au watatu wanaenda kwenye kile chumba chenye mchanga

Je ni nini huwa kinafanyika huko
Mwenge ni uroho na urozi, ni tambiko la CcM kuiba nyota zenu na kuwaachieni umbumbumbu
 
Tunaomtumaini Mungu wa mbinguni tuukatae mwenge tuliokoe na kulikomboa taifa kutoka kwenye hiki kifungo kinacholiandama taifa. Na Mungu atakuwa upande wetu na taifa litastawi na kuinuka.
 
Back
Top Bottom