Mchanga unaotumika wakati wa mwenge

Mchanga unaotumika wakati wa mwenge

Ninataka kujua hivi:
Wakati wa kukimbiza mwenge utakuta sehemu wanayofikia lazima watenge chumba maalum cha kuhifadhia mchanga. Wakiwa wanaendelea na tukio la mwenge sehemu husika utawaona maaskari wawili au watatu wanaenda kwenye kile chumba chenye mchanga

Je ni nini huwa kinafanyika huko
Baadhi ya Watu waliohushudia Kuanzishwa mwenge wanasema kulikuwq na watu Kabambe waliokuwa manguli wa mambo ya kale na kimila, akina

1. Master Forojo Ganze
2.Primus Mugamba Julius
3.Mfaume Goro Tumbo
4.Shekhe Yahya Hussein.
5.Shaibu Kalole Mtiga
 
Tunaomtumaini Mungu wa mbinguni tuukatae mwenge tuliokoe na kulikomboa taifa kutoka kwenye hiki kifungo kinacholiandama taifa. Na Mungu atakuwa upande wetu na taifa litastawi na kuinuka.
Ameeni
 
<iframe width="640" height="360" src="
View: https://www.youtube.com/embed/tCVTUOnIs1Q" title="🔴[Live] : TUNDU LISSU ATUWA WILAYA YA MPWAPWA JIMBO LA KIBAKWE KATIKA VIWANJA VYA KIBAKWE SOKONI" frameborder="0" allow="accelerometer; autoplay; clipboard-write; encrypted-media; gyroscope; picture-in-picture; web-share" referrerpolicy="strict-origin-when-cross-origin" allowfullscreen></iframe>

Asante kwa live Streaming
 
hebu Kasome Historia ya forojo ganze na wenzie.
mtu mpaka ana fanya zindiko, Kisha afariki, ndo ujue sio mchezo
1. Master Forojo Ganze
2.Primus Mugamba Julius
3.Mfaume Goro Tumbo
4.Shekhe Yahya Hussein.
5.Shaibu Kalole Mtiga
 
Back
Top Bottom