uwiii mmhh jamani panya!!!
Weee mie sili panya eeeh....
Hivi dada, ukipika panya unamchuna kama mbuzi ama wamnyonyoa kama kuku?
uwiii mmhh jamani panya!!!
Naskia sijui wanamuita samaki mchanga....sio panya...
Sasa uyo unakausha na Mbirimbi, malimau na embe kali zile, Mwee! Unasanzua hadi miba!
Ah hebu usiniambie nimeshiba hapa soup ya pweza nsije kutapika bureee...lol
We mmakonde?
Kabisaaa,wakati nakula kwa macho,najifunza pia.You are doing a great job!Huwa unapitia ukiwa na njaaa..unajishibia mwenyeo lol
Hahahahaaa!
Kuna siku ilikua tunahamisha matufali maeneo ya K/smk Zenji! Ilitoka mipanya kibaoooo! Mwee! Kupinda mbwa kona iyo! Palikua na Wanyamwezi! Mama mama hauwezi amini, waliwasomba wote!
Kabisaaa,wakati nakula kwa macho,najifunza pia.You are doing a great job!
goddamn it yaani umeniharibia kawali kwangu ka mahafali..
Hahahahahhah kumbe wanyamwezi ndio wanaokula panya...