Mchana uko hivi, karibu sana!

Mchana uko hivi, karibu sana!

Sijaona kitu ulichokiandika sijui ni mimi tu mwenye tatizo.
 
Hapa umenifanya nyama ninayokula niitazame Mara mbilimbili
 
Nahisi umetokea kale ka mkoa ambako ukimaliza tu mlima kitonga ndiyo unaanza kuingia vijiji vyake duhh!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom