Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
FARHAN: SIMBA WAMETUPIGA.
Labda CEO atusaidie kidogo majibu ni kwamba hakuna Mdhamini mwingine wa kuweka hela ama? MO XTRA zipo mara mbili, juu kulia na moja kubwa mbele kifuani, kabisa hakuna brand nyingine? Jezi moja ina matangazo mawili ya kufanana?
Tajiri anatoa mzigo yes lakini hii ya kutuweka matangazo ya kufanana kwenye uzi mmoja ni kubana fursa nyingine za klabu kuingiza pesa ya kutosha kutokana na platform hii kubwa ya michuano ya kimataifa.
Halafu CEO pia atusaidie hiyo MO SPORT mkataba wake ulisainiwa lini? Ni Kampuni ya nani hii? Inajihusisha na nini hii?
Ni hayo tu kwasasa, ni hayo tu.
[@jr_farhanjr ]
Labda CEO atusaidie kidogo majibu ni kwamba hakuna Mdhamini mwingine wa kuweka hela ama? MO XTRA zipo mara mbili, juu kulia na moja kubwa mbele kifuani, kabisa hakuna brand nyingine? Jezi moja ina matangazo mawili ya kufanana?
Tajiri anatoa mzigo yes lakini hii ya kutuweka matangazo ya kufanana kwenye uzi mmoja ni kubana fursa nyingine za klabu kuingiza pesa ya kutosha kutokana na platform hii kubwa ya michuano ya kimataifa.
Halafu CEO pia atusaidie hiyo MO SPORT mkataba wake ulisainiwa lini? Ni Kampuni ya nani hii? Inajihusisha na nini hii?
Ni hayo tu kwasasa, ni hayo tu.
[@jr_farhanjr ]