Mchakato wa kitambulisho Cha NIDA ukoje?

Mchakato wa kitambulisho Cha NIDA ukoje?

Muhimu uwe na documents za cheti cha kuzaliwa, cha form 4. Ujue majina na mwaka wa kuzaliwa wa wazazi wako(kama haujui unaweza ukakadilia tu hawafatilii), mzazi ambae amekufa kitahitaji cheti cha kifo(kama hauna andaa elfu 5 kama grisi ya kulegeza vyuma)

Baada ya hapo utaenda ofisi za uhamiaji watakuuliza maswali mawili matatu halafu kuna sehemu watakugongea muhuri.

Unaenda nida utapigwa picha na kuchukuliwa alama za vidole vyako. Ukishakamikisha utaambiwa uende kuchukua namba baada ya wiki mbili. Foleni huwa inakuaga kubwa kwaiyo ni suala la kusitisha mishe zako zote ziku nzima

Kitambukisho chenyewe kukipata hakuna muda maalumu lakini inaweza kuchukua hata mwaka mzima. Kwaiyo kama una haraka nacho fuata ushauri wa kwenye comment namba 4.
Vyeti vya shule havina ulazima,
Kuna watu wengi tu hawana cheti hata cha darasa la saba.
 
Vyeti vya shule havina ulazima,
Kuna watu wengi tu hawana cheti hata cha darasa la saba.
Lakini kama unavyo ni muhimu, vinginevyo mbadala wake utakulazimu kupoteza muda au hela zaidi
 
Ni lazima uwe na cheti chako cha kuzaliwa na mzazi mmojawapo hivyo ndivyo vitu vya muhimu zaidi, kama huna nenda kwa mwanasheria kachukue affidavits. Hivyo vingine sijui vya shule ni mbwembe tu, kama uliishia darasa la sita cheti cha darasa la saba utakipata wapi.
Hapo kwa mwanasheria inaweza kugharimu hata sh. Ngap na ni kitu gan lazima niende nacho
 
Hapo kwa mwanasheria inaweza kugharimu hata sh. Ngap na ni kitu gan lazima niende nacho
Nenda na picha za passport, kitambulisho au cheti chochote.
Andaa kuanzia 50,000 kama humjui kabisa, kama unamjua au utaunganishwa na mtu weka 30,000 mfuko wa shati.
 
Pambana Dunia ya Sasa CHAPA ndo Kila kitu.mpinga kristo anakuja kupiga watu muhuri .hauwezi kukwepa nida
Hizo story ziko tangu 90's, huyu mpinga Kristo atakuwa anajivuta sana😁
 
Hizo story ziko tangu 90's, huyu mpinga Kristo atakuwa anajivuta sana😁
Ndo anakuja hivyo.
Sasa hivi Kila kitu chako kipo wazi.
Wanakujua zaidi ya unavyojijua.
Ndo maana kwenye mitandao wanakuletea vitu unavyopenda kwamba wameshakujua.
Miaka ijayo Kila mtu atakuwa na muhuri wake japo uenda sisi tusifike huko
 
Ndo anakuja hivyo.
Sasa hivi Kila kitu chako kipo wazi.
Wanakujua zaidi ya unavyojijua.
Ndo maana kwenye mitandao wanakuletea vitu unavyopenda kwamba wameshakujua.
Miaka ijayo Kila mtu atakuwa na muhuri wake japo uenda sisi tusifike huko
Bora wewe kuliko wale wanaoamini watapewa mabikira 72, ila ajabu min -me anawachukia zaidi nyie kuliko wapenda bikira 72 na wakata vichwa😁
 
Bora wewe kuliko wale wanaoamini watapewa mabikira 72, ila ajabu min -me anawachukia zaidi nyie kuliko wapenda bikira 72 na wakata vichwa😁
Duh nimesoma mara tatu ila sijaelewa bwashee😅
 
Mkuu huwa unawachukia sana walokole ambao hawana shida na mtu yoyote kuliko mujahideen wakata vichwa.
Walokole ni wehu wasio jua kwamba wamewehuka na wanajivunia kuwehuka kwao na kuona kama ambao hawajawehuka ndio wehu ,yani ni vichaa full matahira🚮🚮🚮
 
Walokole ni wehu wasio jua kwamba wamewehuka na wanajivunia kuwehuka kwao na kuona kama ambao hawajawehuka ndio wehu ,yani ni vichaa full matahira🚮🚮🚮
Lakini hawatishii usalama wa mtu yeyote, ukiwapiga shavu la kushoto watageuza la kulia. Mujahideen wao hata ukimsema vibaya tu Allah au Mudy unaishi kwa mashaka, hawachelewi kuwasha moto kuitetea dini.
 
Lakini hawatishii usalama wa mtu yeyote, ukiwapiga shavu la kushoto watageuza la kulia. Mujahideen wao hata ukimsema vibaya tu Allah au Mudy unaishi kwa mashaka, hawachelewi kuwasha moto kuitetea dini.
Haya ni zaidi ya hatari , yanakanyaga mafuta yanajifia tu yenyewe , mengine yana shinda bila kula yanajifia ,mengine yanachomwa moto na wachungaji zao , hawa viumbe ni zaidi ya hatari sema tu hayana uwezo yangeleta maafa makubwa mno
 
Bora wewe kuliko wale wanaoamini watapewa mabikira 72, ila ajabu min -me anawachukia zaidi nyie kuliko wapenda bikira 72 na wakata vichwa😁
Mimi mwenyewe ni mpenda mabikira Tena wa kulia Lia na kugala gala.wewe hawapendi mabikira?
 
Back
Top Bottom