Godoro la kioo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2025
- 364
- 727
Mwanzoni sikukitilia maanani kitambulisho Cha nida lakini baada ya kuona umuhimu wake nimeamua Leo nikakifuatilie
Nimeenda kwenye ofisi ya mtendaji nimepewa fomu zote mbili nimejaza
Mtendaji kaweka mihuri yake pale kanipatia fomu kaniambia nirudi jumatatu
Sasa naomba kuuliza kwenu wazoefu baada ya hapa Nini kinachofuata
Wasalam.
Nimeenda kwenye ofisi ya mtendaji nimepewa fomu zote mbili nimejaza
Mtendaji kaweka mihuri yake pale kanipatia fomu kaniambia nirudi jumatatu
Sasa naomba kuuliza kwenu wazoefu baada ya hapa Nini kinachofuata
Wasalam.