figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
hivi nikweli kwamba unatibu presha?maana kama unaumwa kila dawa unayoambiwa unatumia.nijuzeni.
Wasalaam...naomba kama kuna mtu anafahamu jina halisi la mmea(kisayansi) mchaichai...kwa wale ambao wamewahi kunya chai ya mchaichai nadhani mtakuwa mmenielewa na maana gani (Si maana nataka jina la majani ya chai yanatumika kutengeneza chai ya rangi, hapana bali jina la MCHAICHAI...majani fulani membamba na marefu hutumika kutengeneza chai pia.
wapi naweza kupata nipande???
Wangu nimeupanda leo..........nimeutoa hukooooo........ngoja uzae nikupe shina.........
lakini sasa.........eti unaleta kansa ya ini........ni kweli........?.....
Ahsante sana X-Paster. Niliutafuta sana mchaichai mara ya mwisho nilipokuwa bongo bila mafanikio yoyote. Naona kuna uwezekano ukapotea maana wengi sasa hivi hawaujui mchaichai. Hao bibi zetu Mungu aziweke roho zao mahali pema peponi~AMEN.