Mchagueni MBWIGA....HANA MAKUU!

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,203
8,724
Naomba wana jamvi mnisaidie hili neno "HANA MAKUU" linamaanisha hasa mambo gani.

Neno hili Limekuwa linatumika kumsifia mtu, iwe katika siasa, dini, na kijamii nk, lakini binafsi sijui hayo MAKUU yanayomaanishwa ni yepi.

Aksanteni.
 
Mtu asiye na makuu ni mtu "down to earth", yaani mtu wa kawaida asiye jikweza!!
 
Mtu asiye na makuu ni mtu "down to earth", yaani mtu wa kawaida asiye jikweza!!
Wooow!

Thanx alot Bulesi for the answer which ithink its mostly the correct one.

Lakini unadhani wale wote wanaotajwa kuwa hawana makuu ni kweli ni wa hivyo?

Mfano ni Marais wote waliowahi kuitawala Tanzania wamekuwa wanapewa sifa hii ya kutokuwa na makuu...je ni sahihi?
 
Wooow!

Thanx alot Bulesi for the answer which ithink its mostly the correct one.

Lakini unadhani wale wote wanaotajwa kuwa hawana makuu ni kweli ni wa hivyo?

Mfano ni Marais wote waliowahi kuitawala Tanzania wamekuwa wanapewa sifa hii ya kutokuwa na makuu...je ni sahihi?
fomula moja ya marais wa kiafrika ni kuwa wanachosema wewe chukua kinyume chake.

tutaleta maisha bora = mtakufa kwa umaskini
tutaondoa rushwa = tutadumisha rushwa
hatuna makuu = tutakwenda kubembea jamaika
katiba lazima ifuatwe = wanafuata ushauri wa waifu zao.
nchi maskini = nchi tajiri
ninaweza nikaendelea on spesheli rikwesti.
 
fomula moja ya marais wa kiafrika ni kuwa wanachosema wewe chukua kinyume chake.

tutaleta maisha bora = mtakufa kwa umaskini
tutaondoa rushwa = tutadumisha rushwa
hatuna makuu = tutakwenda kubembea jamaika
katiba lazima ifuatwe = wanafuata ushauri wa waifu zao.
nchi maskini = nchi tajiri
ninaweza nikaendelea on spesheli rikwesti.

tafadhali mpwa endelea kwa afya yangu!!!!!!! hahaaa mi hoi!!!
 
fomula moja ya marais wa kiafrika ni kuwa wanachosema wewe chukua kinyume chake.

tutaleta maisha bora = mtakufa kwa umaskini
tutaondoa rushwa = tutadumisha rushwa
hatuna makuu = tutakwenda kubembea jamaika
katiba lazima ifuatwe = wanafuata ushauri wa waifu zao.
nchi maskini = nchi tajiri
ninaweza nikaendelea on spesheli rikwesti.
Na wakisema JK au Karume alishinda kwa kishindo, nayo inakuwa opposite?
 
Naomba wana jamvi mnisaidie hili neno "HANA MAKUU" linamaanisha hasa mambo gani.

Neno hili Limekuwa linatumika kumsifia mtu, iwe katika siasa, dini, na kijamii nk, lakini binafsi sijui hayo MAKUU yanayomaanishwa ni yepi.

Aksanteni.

linaportray unafiki wa yule anayelisema hasa ikiwa ni tofauti na ukweli.
 
Back
Top Bottom