only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Mchaga alidumbukia kwenye shimo la maji mkewe alipopata taarifa alikimbia kununua kamba amuokoe mumewe mara baada ya kufika na kumtupia ile kamba mpya yule jamaa akamwambia mkewe hii kamba mpya umenunua shilingi ngapi? mkewe akajibu elfu moja jamaa akamwambia mkewe yesu na maria rudisha hiyo kamba nenda kwa masawe anauza mia tano fanya haraka nitazama.