sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 649
Mchaga mmoja alidondoka kisimani,akapiga kelele huku akiwa anatapatapa,mkewe akaja na kamba mpya akamrushia iliamvute,mume akamuuliza umenunua shs ngapi hiyo kamba?Mke akajibu buku(1000),akamwambia irudishe sasa hivi nenda kwa mangi anauza jero tu(500) fanya fasta ntazama!!!!!