Mchaga huyu mmmmh

Mchaga huyu mmmmh

:eek2::eek2::eek2:

Vitu vingine vidunchu havihitaji hata kulalamika unapiga tu bao la tiktaka, mwanaume mwingine eti anaombwa vihela vya supermarket anakimbia aagrrr kukimbia ni kuharibu cv we nenda kabla ya kwenda supermarket unabandua kwanza ndo mnaenda
Ngekua mwanaume mie...... :spy:
 
Yaani hata wewe hauko romantic kama ndo unabembeleza kwa staili hii uliyoandika basi wewe ndo tatizo, jiongeze!!!!
 
Napitaaa aisee mekuu!! Nipe no yake mm ndo namtakaa huyoo tufanye mabadiriko nikupe mzaramo full kigodoro na upatu akisha zipata anamalizia zotee k/koo kwenye madiraa! Namwitaji huyo manka mm
 
una bahati una duka bila mtaji. hao ndio watafutaji na si watafutwaji
 
Sasa kama yuko hivyo ujue sio wako unalazimisha. Tafuta mkoa wa pwani utapata anayejua mapenzi.
 
mkuu tena kuwa makini huyo mkipata hela anakuua huyo
 
Ni aibu na ajabu sana kwa Mwanaume kweli aliyeoa kumshitaki MKE ktk suala hili:-

-Kama unampenda kweli mfundishe yale unayojua ktk mapenzi,hata wewe kuna usiyoyajua utakayoweza kujifunza kwake. You are not Perfect.

-Mshukuru Mungu umempata mwenye tabia hiyo kuliko ya uhuni.
 
Kama huwezi kushiriki naye kile kinachomugusa kumoyo basi hata wewe humfai.

Akibeba note book wewe beba diary na akiongelea fremu wewe ongelea kujenga duka.


Tatizo hapa ni kwamba wewe inawezekana utahitaji mtu wa Pwani....Basi mwache mdada wa watu na biashara zake!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom