Mchaga huyu mmmmh

Mchaga huyu mmmmh

Wewe Fara kweli.....

Ngoja upate huyu wa;

1. "Baby mama yangu anadaiwa 10milion ya kikoba nisaidie basi""

2." Baby nimepoteza ile simu uliyoniletea Jana, fanya mpango basi nimemiss WhatsApp ""

3. "" Baby unajua kwenye kitchen part ya Suzi tutavaa less wig za 800,000"

4. "" baby, nimechukua mkoba kwa mkopo wa 350,000 so utalipia next week""



Mkuu hapa vipi?

kwa hivi hakika simwachi mupenzi wangu manka tarimo
 
Mkipata mali lazima akuue.ni wa wapi Machame au kibosho!! Be care.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom