Mchaga huyu mmmmh

Mchaga huyu mmmmh

Quinton Canosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
1,224
Reaction score
1,258
Habari ndugu zangu wanajamii forum
Leo jamani ngoja mnisadie kuhusu hili.Nina mpenzi wa kichaga niliyempata hapa moshi mwaka jana tatizo kubwa hayuko romantic kabisa muda wote anazungumzia biashara tu yaani mpaka anakera,sometimes hata usiku mkiwa mmelala ukimwambia baby geuka nikupige busu ananiambia mpaka nimtafutie fremu mpya aanzishe biashara ndio atakubali nimbusu yaani stori zake asimia kama 70 ni biashara tu hata mkiwa na mtoko siku hiyo lazima abebe notebook eti huenda fursa za kibiashaa zinaweza kutokea namwambia baby kila jambo na wakati wake yeye hataki hiyo kitu yaani utamsikia usiku mpaka anaweweseka mara aisee mallya nipapangishie hiyo fremu yako nataka niweke hardware,wakati mwingine mpo mnakula mara baby tule haraka nataka unisindikize mjini tukaangalie duka la kina Lyimo la hardware kama kuna aina za hardware ambazo hata sisi tunaweza kuzinunua kidogo kidogo yaani hayuko romantic hata ukiwa umemkumbatia ukimuangalia anawaza mbali ukimuuliza unawaza nn baby anasema aanawaza biashara zake,kuwaza biashara sio tatizo,ila tatizo anawaza muda wote utadhani naishi na duka,hivi dada zangu wachaga mna mdudu gani jamani???!
 
mkuu hiyo ni madhara ya kunywa mbege
alfajili . Mshauri apunguze kunywa mbege
uone atavyokuwa mnono.

Habari ndugu zangu wanajamii forum
Leo jamani ngoja mnisadie kuhusu hili.Nina mpenzi wa kichaga niliyempata hapa moshi mwaka jana tatizo kubwa hayuko romantic kabisa muda wote anazungumzia biashara tu yaani mpaka anakera,sometimes hata usiku mkiwa mmelala ukimwambia baby geuka nikupige busu ananiambia mpaka nimtafutie fremu mpya aanzishe biashara ndio atakubali nimbusu yaani stori zake asimia kama 70 ni biashara tu hata mkiwa na mtoko siku hiyo lazima abebe notebook eti huenda fursa za kibiashaa zinaweza kutokea namwambia baby kila jambo na wakati wake yeye hataki hiyo kitu yaani utamsikia usiku mpaka anaweweseka mara aisee mallya nipapangishie hiyo fremu yako nataka niweke hardware,wakati mwingine mpo mnakula mara baby tule haraka nataka unisindikize mjini tukaangalie duka la kina Lyimo la hardware kama kuna aina za hardware ambazo hata sisi tunaweza kuzinunua kidogo kidogo yaani hayuko romantic hata ukiwa umemkumbatia ukimuangalia anawaza mbali ukimuuliza unawaza nn baby anasema aanawaza biashara zake,kuwaza biashara sio tatizo,ila tatizo anawaza muda wote utadhani naishi na duka,hivi dada zangu wachaga mna mdudu gani jamani???!
 
Wewe Fara kweli.....

Ngoja upate huyu wa;

1. "Baby mama yangu anadaiwa 10milion ya kikoba nisaidie basi""

2." Baby nimepoteza ile simu uliyoniletea Jana, fanya mpango basi nimemiss WhatsApp ""

3. "" Baby unajua kwenye kitchen part ya Suzi tutavaa less wig za 800,000"

4. "" baby, nimechukua mkoba kwa mkopo wa 350,000 so utalipia next week""



Mkuu hapa vipi?
 
Wewe Fara kweli.....

Ngoja upate huyu wa;

1. "Baby mama yangu anadaiwa 10milion ya kikoba nisaidie basi""

2." Baby nimepoteza ile simu uliyoniletea Jana, fanya mpango basi nimemiss WhatsApp ""

3. "" Baby unajua kwenye kitchen part ya Suzi tutavaa less wig za 800,000"

4. "" baby, nimechukua mkoba kwa mkopo wa 350,000 so utalipia next week""



Mkuu hapa vipi?

ha ha ha ha ina maana mkuu nikubaliane na hali halisi
 
ha ha ha ha ina maana mkuu nikubaliane na hali halisi

Ndo hivyo, afu hakuna mwanamke anayemfiti mtu at 100%

Nakushauri;

Vitu vingine unamfundisha polepole...jifunze kucheza na saikolojia yake ! Handling yako ibadilike coz hisia za wanawake huwa ziko mbali..

Shemeji yako alikuja gogo, sasa anakata mauno kama wamama wa khanga moko
 
Ndo hivyo, afu hakuna mwanamke anayemfiti mtu at 100%

Nakushauri;

Vitu vingine unamfundisha polepole...jifunze kucheza na saikolojia yake ! Handling yako ibadilike coz hisia za wanawake huwa ziko mbali..

Shemeji yako alikuja gogo, sasa anakata mauno kama wamama wa khanga moko


aisee kumbe inawezekana braza
 
Ndo hivyo, afu hakuna mwanamke anayemfiti mtu at 100%

Nakushauri;

Vitu vingine unamfundisha polepole...jifunze kucheza na saikolojia yake ! Handling yako ibadilike coz hisia za wanawake huwa ziko mbali..

Shemeji yako alikuja gogo, sasa anakata mauno kama wamama wa khanga moko

Hahahaaa Transcend mauno katika ubora wako
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom