Mch. Peter Msigwa (Mb), atukana

Mch. Peter Msigwa (Mb), atukana

Status
Not open for further replies.
Mmekosa pa kukamata sasa mnamtega kwenye maneno haya sasa tunakutupia kama unadeka kawadekee ccm period mzee hovyo sana
 
wazee kama wewe ndiyo wale aliowasema nape kuwa wanasibiri kufa..


Asante umemwambia kwani nilitamani majibu haya haya yamrudie huyu member Mzee umeyapata haya ya Nape?
 
Last edited by a moderator:
kwa kuwa wewe ni mzee kwa vyovyote vile utakuwa umeathiriwa na kiharusi hivyo imepeleke kusahau kuwa ni maneno yapi matusi na yapi siyo matusi.
pole lkn kwa kufedheheka kiasi hicho.
 
We mzee una matatizo ya akili wah mirembe chap, kama nmekutkana nsamehe ila wewe n taahira na nna wasisi ulianza kutoka miguu co kichwa,,,
 
wewe una mchango gani katika chama kama siyo kibarua wa magamba
Habari za Jioni hii.

Haya ni maneno ya Mch. Msigwa wakati akimjibu mdau Facebook.

"Msimaamo wangu ndio huu ,kwanza wengi wenu humu fb hamna mchango wowote wa maana kwenye chama. period!!nasubiri mnitukane" By Mch Peter Msigwa

Hawa ndio viongozi wanaotaka tuwakabidhi nchi, wasio jua hata thamani ya midomo yao.

Wale wanaojitokeza ktk maandamano yao hawana mchango wowote????

Wale wanaojitolea vi mia mia vyao kwenye mikutano, hawana mchango wowote???

Wanaoshinda kwenye folenj ili waipigie kura chadema hawana mchango wowot???

Wanaojitolea kufungua matawi hawana msaada wowote ktk chama????

My take;
Mchungaji jirekebishe.
 
Haya ni makubwa. Kwani ukiona kiongozi wa dini tena mchungaji wa waumini anatoa manena machafu ujue ndio mwisho wa ...


Haya tuvute subra tuone.
 
Hata kondoo hawawezi kukubali kuongozwa na mtu kama msigwa.
 
Itafika hatua atajinyonga kabisa huyu mchungaji uchwara.
 
hoja za kuisema chadema vibaya watubwanatukanwa sana mbn hekima hamna na mtambue siasa ni hoja tu basi ila matusi hayapendezi
 
Habari za Jioni hii.

Haya ni maneno ya Mch. Msigwa wakati akimjibu mdau Facebook.

"Msimaamo wangu ndio huu ,kwanza wengi wenu humu fb hamna mchango wowote wa maana kwenye chama. period!!nasubiri mnitukane" By Mch Peter Msigwa

Hawa ndio viongozi wanaotaka tuwakabidhi nchi, wasio jua hata thamani ya midomo yao.

Wale wanaojitokeza ktk maandamano yao hawana mchango wowote????

Wale wanaojitolea vi mia mia vyao kwenye mikutano, hawana mchango wowote???

Wanaoshinda kwenye folenj ili waipigie kura chadema hawana mchango wowot???

Wanaojitolea kufungua matawi hawana msaada wowote ktk chama????

My take;
Mchungaji jirekebishe.

Usiwe mjinga wewe na kupotosha .Kasema kwenue Facebook nami naongeza wengi wa JF hapa na huko Ulaya na USA hawana mchango tofauti na maneno ya mitandaoni .Unasemaje sasa .
 
Habari za Jioni hii.

Haya ni maneno ya Mch. Msigwa wakati akimjibu mdau Facebook.

"Msimaamo wangu ndio huu ,kwanza wengi wenu humu fb hamna mchango wowote wa maana kwenye chama. period!!nasubiri mnitukane" By Mch Peter Msigwa

Hawa ndio viongozi wanaotaka tuwakabidhi nchi, wasio jua hata thamani ya midomo yao.

Wale wanaojitokeza ktk maandamano yao hawana mchango wowote????

Wale wanaojitolea vi mia mia vyao kwenye mikutano, hawana mchango wowote???

Wanaoshinda kwenye folenj ili waipigie kura chadema hawana mchango wowot???

Wanaojitolea kufungua matawi hawana msaada wowote ktk chama????

My take;
Mchungaji jirekebishe.

Hapo hakuna Tusi,ni Kama vile Sugu alivyosema PM ni Mpumbav.u.
waandamanji hawana muda wa kupoteza Facebook.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom