Mch. Peter Msigwa (Mb), atukana

Mch. Peter Msigwa (Mb), atukana

Status
Not open for further replies.
Habari za Jioni hii.

Haya ni maneno ya Mch. Msigwa wakati akimjibu mdau Facebook.

"Msimaamo wangu ndio huu ,kwanza wengi wenu humu fb hamna mchango wowote wa maana kwenye chama. period!!nasubiri mnitukane" By Mch Peter Msigwa

Hawa ndio viongozi wanaotaka tuwakabidhi nchi, wasio jua hata thamani ya midomo yao.

Wale wanaojitokeza ktk maandamano yao hawana mchango wowote????

Wale wanaojitolea vi mia mia vyao kwenye mikutano, hawana mchango wowote???

Wanaoshinda kwenye folenj ili waipigie kura chadema hawana mchango wowot???

Wanaojitolea kufungua matawi hawana msaada wowote ktk chama????

My take;
Mchungaji jirekebishe.

Amesema lipi na wewe umeongezea Lipi???
 
Watu wa aina ya Msigwa,Afande Sele,Sugu,Lema ndio vichwa vya Chadema
 
Moderators siku hizi sijui wamelala? Thread zinaibuliwa kama uyoga. Ukizifungua hazina chochote.
 
This mzee has comitted a falacy of generalization. Pia amemuelewa vibaya mbunge.
 
Tuonyeshe matusi aliyotukana.tatizo lenu magamba you call a spade a big spoon.hebu lingnisha na kauli hizi alafu to draw conclusion nani katukana hasa:mramba nitanunua ndega ya rais hata kama watanzania wanakula majani.magufuri asiyetaka kulipa nauli ya sh 300 apige mbizi.simbachawene atakayeona umeme ni aghari awashe kibatari.fikria kidogo alafu urudi.
 
Habari za Jioni hii.

Haya ni maneno ya Mch. Msigwa wakati akimjibu mdau Facebook.

"Msimaamo wangu ndio huu ,kwanza wengi wenu humu fb hamna mchango wowote wa maana kwenye chama. period!!nasubiri mnitukane" By Mch Peter Msigwa

Hawa ndio viongozi wanaotaka tuwakabidhi nchi, wasio jua hata thamani ya midomo yao.

Wale wanaojitokeza ktk maandamano yao hawana mchango wowote????

Wale wanaojitolea vi mia mia vyao kwenye mikutano, hawana mchango wowote???

Wanaoshinda kwenye folenj ili waipigie kura chadema hawana mchango wowot???

Wanaojitolea kufungua matawi hawana msaada wowote ktk chama????

My take;
Mchungaji jirekebishe.

Huyu kazaliwa hivyo, kamwe hawezi kujirekebisha. Mtatukana sanaaaaa, na bado mtachanga, mtapanga foleni kumpigia kura, n.k. Na yeye ataendelea kuwatukana.

Hii ni part gazeti subiri kali yenyewe. Mchungaji payuka, wakikasirika waombee tena waombee sna ile ya Mozes Kulola. Waoga hao watakuchagua tu kwanza hawana mtu kwenye jimbo lao. Na watafukuza wangapi.

Nilisahau, Hivi mchungaji kwanini umekaa kimya kuhusu suala la sakata ya Zitto. Toa tamka lako au ndio mwenzio kanyolewa wewe unatia maji.
 
Moderators siku hizi sijui wamelala? Thread zinaibuliwa kama uyoga. Ukizifungua hazina chochote.


Acha kulia lia hovyo, Jibu hoja.

Chama chenu kinaruhusu kuwadharau wanachama wenu????
 
Habari za Jioni hii.

Haya ni maneno ya Mch. Msigwa wakati akimjibu mdau Facebook.

"Msimaamo wangu ndio huu ,kwanza wengi wenu humu fb hamna mchango wowote wa maana kwenye chama. period!!nasubiri mnitukane" By Mch Peter Msigwa

Hawa ndio viongozi wanaotaka tuwakabidhi nchi, wasio jua hata thamani ya midomo yao.

Wale wanaojitokeza ktk maandamano yao hawana mchango wowote????

Wale wanaojitolea vi mia mia vyao kwenye mikutano, hawana mchango wowote???

Wanaoshinda kwenye folenj ili waipigie kura chadema hawana mchango wowot???

Wanaojitolea kufungua matawi hawana msaada wowote ktk chama????

My take;
Mchungaji jirekebishe.

Huyu Mzee ni mgonjwa wa akili, hajapona kabisa, hivi siku hizi kwenye FB watu wanazungumza kwa mdomo au bado ni mtindo uleule wa kuandikiana kwa kuchat? Kama Mzee hajui tofauti ya kuzungumza na kuandika, basi kwa umri tu, inaonyesha Mzee huyo ana critical mental disorder problem.
 
Habari za Jioni hii.

Haya ni maneno ya Mch. Msigwa wakati akimjibu mdau Facebook.

"Msimaamo wangu ndio huu ,kwanza wengi wenu humu fb hamna mchango wowote wa maana kwenye chama. period!!nasubiri mnitukane" By Mch Peter Msigwa

Hawa ndio viongozi wanaotaka tuwakabidhi nchi, wasio jua hata thamani ya midomo yao.

Wale wanaojitokeza ktk maandamano yao hawana mchango wowote????

Wale wanaojitolea vi mia mia vyao kwenye mikutano, hawana mchango wowote???

Wanaoshinda kwenye folenj ili waipigie kura chadema hawana mchango wowot???

Wanaojitolea kufungua matawi hawana msaada wowote ktk chama????

My take;
Mchungaji jirekebishe.

Mzee mwenzangu sasa naona umechoka kwelikweli, hebu onyesha tusi alilotukana hapo.
 
Duuh kwa hiyo wale Waasi wa RDC wameanzia mbali sasa hivi wapo M23 wakati huku Bongo ndo twaanza na M1,M2,M3 na M4 tu...
 
Habari za Jioni hii.

Haya ni maneno ya Mch. Msigwa wakati akimjibu mdau Facebook.

"Msimaamo wangu ndio huu ,kwanza wengi wenu humu fb hamna mchango wowote wa maana kwenye chama. period!!nasubiri mnitukane" By Mch Peter Msigwa

Hawa ndio viongozi wanaotaka tuwakabidhi nchi, wasio jua hata thamani ya midomo yao.

Wale wanaojitokeza ktk maandamano yao hawana mchango wowote????

Wale wanaojitolea vi mia mia vyao kwenye mikutano, hawana mchango wowote???

Wanaoshinda kwenye folenj ili waipigie kura chadema hawana mchango wowot???

Wanaojitolea kufungua matawi hawana msaada wowote ktk chama????

My take;
Mchungaji jirekebishe.
unajua kusoma? Au umerukia mstari wa mwisho? Tofautisha kati ya wengi wenu na wote nadhani upo kwenye wengi ndo maana unapiga ukunga!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom