Habari za Jioni hii.
Haya ni maneno ya Mch. Msigwa wakati akimjibu mdau Facebook.
"Msimaamo wangu ndio huu ,kwanza wengi wenu humu fb hamna mchango wowote wa maana kwenye chama. period!!nasubiri mnitukane" By Mch Peter Msigwa
Hawa ndio viongozi wanaotaka tuwakabidhi nchi, wasio jua hata thamani ya midomo yao.
Wale wanaojitokeza ktk maandamano yao hawana mchango wowote????
Wale wanaojitolea vi mia mia vyao kwenye mikutano, hawana mchango wowote???
Wanaoshinda kwenye folenj ili waipigie kura chadema hawana mchango wowot???
Wanaojitolea kufungua matawi hawana msaada wowote ktk chama????
My take;
Mchungaji jirekebishe.