GANG MO
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,087
- 2,193
“Enzi hizo nikiuza mitumba (mantigo) miomboni iringa Mjini 1987!” https://t.co/NWmr0BjRTZ
Duh.........watu wametoka mbali....“Enzi hizo nikiuza mitumba (mantigo) miomboni iringa Mjini 1987!” https://t.co/NWmr0BjRTZView attachment 1157249
Ndo hotuba bora ya kuwanyoosha wanaccm katika bungeHuyu jamaa nikikumbuka hotuba yake ya akili kubwa kutawala akili ndogo huwa namheshimu sana, ana akili kubwa sana, tuombe njaa zisiwabadilishe kama kina Kafulila
Ndo hotuba bora ya kuwanyoosha wanaccm katika bunge
mwaka 87 kulikuwa hakuna picha coloured picha za rangi zimeanza mwaka 90
Hebu jaribu kuficha ushamba wako,au kwenu kolomije?mwaka 87 kulikuwa hakuna picha coloured picha za rangi zimeanza mwaka 90
Hakuna hata mtu mmoja ameshawahi kumtukana Mh. Rais.Huyu jamaa kelele zake zoote hajawahi kumtukana Mh. Rais kama mataila mengine ya upinzani, nilikuja kugundua sababu ya adabu hii ni kuwa hawa jamaa ni ndugu hahahaaaa wazazi wazae watoto watuunganishe hakuna adui kwenye undugu.
kakudanganya nani mimi nina picha ya miaka ya mwanzo ya 80 nikiwa dogomwaka 87 kulikuwa hakuna picha coloured picha za rangi zimeanza mwaka 90
Duh wakolomije tunaseka sana hadi atoke madarakan huyu dingi tutakuwa tushakomaHebu jaribu kuficha ushamba wako,au kwenu kolomije?