kolomije kwetu hazikuwepo aiseee!Labda huko ulipokuwepo ndio hazikuwepo
kolomije kwetu hazikuwepo aiseee!Labda huko ulipokuwepo ndio hazikuwepo
mkuu tango pori hili nimelishwa na babu 87nilikuwa sijazaliwa hata.kakudanganya nani mimi nina picha ya miaka ya mwanzo ya 80 nikiwa dogo
Ndio maana kuna mdau moja nilimwambia msigwa atakuwa mbunge wa mwisho kukuso ubunge labda yeye mwenyewe aseme hatakiHuyu jamaa kelele zake zoote hajawahi kumtukana Mh. Rais kama mataila mengine ya upinzani, nilikuja kugundua sababu ya adabu hii ni kuwa hawa jamaa ni ndugu hahahaaaa wazazi wazae watoto watuunganishe hakuna adui kwenye undugu.
“Enzi hizo nikiuza mitumba (mantigo) miomboni iringa Mjini 1987!” https://t.co/NWmr0BjRTZView attachment 1157249
Daah!!alikuwa cheusi balaa.
watu ambao hawajafika chuo huwa wanaushawishi mkubwa wakipata fursa
mkuu huku kolomije mapicha ya rangi tumeanza kuyaona mwaka 2002Hebu jaribu kuficha ushamba wako,au kwenu kolomije?

True kabisa. Nimeishi iringa pale kwa miaka 4. Ukickia msigwa kashindwa ubunge pale basi kuna nguvu imetumika kupoka nafasi yake. Kwa kura haitakuja wezekanaNdio maana kuna mdau moja nilimwambia msigwa atakuwa mbunge wa mwisho kukuso ubunge labda yeye mwenyewe aseme hataki
Mkuu hiki ulichoandika aibu naona mimi.mwaka 87 kulikuwa hakuna picha coloured picha za rangi zimeanza mwaka 90
Unasona aibu kwa comment ya "kid"?Mkuu hiki ulichoandika aibu naona mimi.
“Enzi hizo nikiuza mitumba (mantigo) miomboni iringa Mjini 1987!” https://t.co/NWmr0BjRTZView attachment 1157249
Chuo cha aina ipi ?alikuwa cheusi balaa.
watu ambao hawajafika chuo huwa wanaushawishi mkubwa wakipata fursa