Kama hata mtoto wa darasa la pili anamkubali msigwa kuwa aliongea vitu vya maana sasa wewe mwenye phd itakuaje ?unaesema hakuna kitu.pole wasomi wetu.ndio maana mtoto tanzania amedumaa hakui yupo pale pale.ni kwa sababu wengi wa wabunge pale wana akili finyu sana sana.hawastahili kuwepo pale.uchaguzi unaokuja utasadia kuwang'oa ili wapate nafasi kwenda kuendeleza majungu yao kule vijiweni