Kazi aliyotumwa kuifanya hapa duniani imemshinda sasa kajikuta yupo sehemu ambayo hakutakiwa kuwepo. Anaanza kuongea utumbo. ni rahisi binadamu kumsikiliza kiongozi wa dini kuliko viongozi wa nchi, na yeye ameacha kuchunga kondoo kwa kutafuta uongozi wa nchi. Rudi kafanye kazi ya Mungu kaombee wazinzi ili wapate kumrudia Mungu.
hivi wewe timamu kweli wewe ulivyozaliwa ulikuwa umeshapangiwa kazi toka tumboni mwa mama yako?tena ingewezekana viongozi wetu wengi wangekuwa ni viongozi wa dini yawezekana nchi ingekuwa mbali,maana hofu ya mungu ingewatafuna siyo hiyo mijizi yenu inayony'ata bila kupulizakazi aliyotumwa kuifanya hapa duniani imemshinda sasa kajikuta yupo sehemu ambayo hakutakiwa kuwepo. Anaanza kuongea utumbo. Ni rahisi binadamu kumsikiliza kiongozi wa dini kuliko viongozi wa nchi, na yeye ameacha kuchunga kondoo kwa kutafuta uongozi wa nchi. Rudi kafanye kazi ya mungu kaombee wazinzi ili wapate kumrudia mungu.
Ungekuwa unahudhuria makanisani na kichwa chako kingekuwa sawa ungesikia wachungaji wakisema wametumwa na Mungu kufanya kazi hiyo.hivi wewe timamu kweli wewe ulivyozaliwa ulikuwa umeshapangiwa kazi toka tumboni mwa mama yako?tena ingewezekana viongozi wetu wengi wangekuwa ni viongozi wa dini yawezekana nchi ingekuwa mbali,maana hofu ya mungu ingewatafuna siyo hiyo mijizi yenu inayony'ata bila kupuliza
Kazi aliyotumwa kuifanya hapa duniani imemshinda sasa kajikuta yupo sehemu ambayo hakutakiwa kuwepo. Anaanza kuongea utumbo. ni rahisi binadamu kumsikiliza kiongozi wa dini kuliko viongozi wa nchi, na yeye ameacha kuchunga kondoo kwa kutafuta uongozi wa nchi. Rudi kafanye kazi ya Mungu kaombee wazinzi ili wapate kumrudia Mungu.
Kazi aliyotumwa kuifanya hapa duniani imemshinda sasa kajikuta yupo sehemu ambayo hakutakiwa kuwepo. Anaanza kuongea utumbo. ni rahisi binadamu kumsikiliza kiongozi wa dini kuliko viongozi wa nchi, na yeye ameacha kuchunga kondoo kwa kutafuta uongozi wa nchi. Rudi kafanye kazi ya Mungu kaombee wazinzi ili wapate kumrudia Mungu.