Mch. Msigwa 'afyatuka' Bungeni...

Kuna tofauti kubwa sana kati ya wabunge wachungaji wa cdm na ccm mfano Msigwa Vs Mama Rwakatale.
Big up Msigwa!
 
Ndiyo raha ya kuwa na watu km hawa....wachungaji wana reasoning saana....msigwa big up sana
 
namwomba Mungu ampe mh. Mch. Msigwa maisha marefu mpaka ukombozi wa nchi upatikane, daima na milele, Amina.
 
Kazi aliyotumwa kuifanya hapa duniani imemshinda sasa kajikuta yupo sehemu ambayo hakutakiwa kuwepo. Anaanza kuongea utumbo. ni rahisi binadamu kumsikiliza kiongozi wa dini kuliko viongozi wa nchi, na yeye ameacha kuchunga kondoo kwa kutafuta uongozi wa nchi. Rudi kafanye kazi ya Mungu kaombee wazinzi ili wapate kumrudia Mungu.

akili ndogo kuongoza kubwa we can expect this
 
Cdm nooooooooooooooooooooooooooooooooooooomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

kila mbunge anatema nondo mbayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Starn kumbuka ata Melkizedek alikuwa kuhani na mfalme wa Salem!
Na pia kumbuka wabunge ni sehemu ya Kondoo ambao wanatakiwa kuchungwa!

"Problems can not be solved by the same level of thinking that creates them" this was my favourite part on a seroius note problems currently Tz is invlved in most of them can not be solved by CCM as the rulling part!
 
Msigwa ni mbunge makini siku zote nikiandika post kuhusu msigwa huwa nasisitiza
:MSIGWA NI MBUNGE MAKINI:
hotuba nzima ipo makini kama alivyo yeye na umakini wake BUT kwa UNTHINKABLE PEOPLE THEY WILL SAY THAT THERE IS NOTHING IN THE SPEECH OF MSIGWA,IF THAT YOU WILL BE DEADLY WRONG FOR THAT MENTALITY. Kupiti speech ya msigwa kama wewe ni mbunge jipime na msigwa hasa wabunge wa sisisisisisisisisisisisisis emuemuemuemuemuemuemuemu.
 
Dear All,
Can i get the cv of this man of God. He can take us very far, we are tired of doing the same thing in the same way expecting different results.
 
Nimeisoma najisikia kulia watanzania tunatumbukizwa shimoni kwani tunaongozwa na vipofu na kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwenziwe. Ni mpaka ccm waamke wamtoe mtu kama Mwigulu aache upuuzi wake mbele ya kadamnasi.
 
kazi aliyotumwa kuifanya hapa duniani imemshinda sasa kajikuta yupo sehemu ambayo hakutakiwa kuwepo. Anaanza kuongea utumbo. Ni rahisi binadamu kumsikiliza kiongozi wa dini kuliko viongozi wa nchi, na yeye ameacha kuchunga kondoo kwa kutafuta uongozi wa nchi. Rudi kafanye kazi ya mungu kaombee wazinzi ili wapate kumrudia mungu.
hivi wewe timamu kweli wewe ulivyozaliwa ulikuwa umeshapangiwa kazi toka tumboni mwa mama yako?tena ingewezekana viongozi wetu wengi wangekuwa ni viongozi wa dini yawezekana nchi ingekuwa mbali,maana hofu ya mungu ingewatafuna siyo hiyo mijizi yenu inayony'ata bila kupuliza
 
hivi wewe timamu kweli wewe ulivyozaliwa ulikuwa umeshapangiwa kazi toka tumboni mwa mama yako?tena ingewezekana viongozi wetu wengi wangekuwa ni viongozi wa dini yawezekana nchi ingekuwa mbali,maana hofu ya mungu ingewatafuna siyo hiyo mijizi yenu inayony'ata bila kupuliza
Ungekuwa unahudhuria makanisani na kichwa chako kingekuwa sawa ungesikia wachungaji wakisema wametumwa na Mungu kufanya kazi hiyo.
 
yani mashine za CDM na mashine nyingine zilizopo nje zikiingia bungeni zote then wakapata spika fear na dani kunawabunge watakaotoka nje wenyewe maana hakuna wakuweza kupangua hoja zao
 
huyu jamaaa anazidi kukomaa kisiasa hasa kadri anavyoendelea kukaa bungeni.
Namkubali sana huyu kamanda
 
Kazi aliyotumwa kuifanya hapa duniani imemshinda sasa kajikuta yupo sehemu ambayo hakutakiwa kuwepo. Anaanza kuongea utumbo. ni rahisi binadamu kumsikiliza kiongozi wa dini kuliko viongozi wa nchi, na yeye ameacha kuchunga kondoo kwa kutafuta uongozi wa nchi. Rudi kafanye kazi ya Mungu kaombee wazinzi ili wapate kumrudia Mungu.

Mbona hata hii anayofanya ni kazi ya mungu pia mkuu. Hapa amabalisha approach tu lakini zote ni kazi za Mungu wala sioni kama ameacha, tena hii approach ndio inawafikia wengi zaidi na ina impact kubwa kwa nchi na jamii yake.
 
Nondo kama hizi magamba wao wanaona kama ni mashudu kwao zinaingia sikio la kulia na kutokea sikio la kushoto
 
Kwa kweli inasisimua.sikubahatika kuisikiliza.inasikitisha ujumbe kama huu unapuuzwa na matokeo yake utumbo wa kina mwigulu unajadiliwa zaidi na kuacha mambo ya muhimu kama haya.Nchi hii tunaipeleka wapi?
 
msigwa is next level of thinking, ulikuwa wapi mchungaji? una akili za ki einstain.
 
This is wonderful speech which I never heard it before, big up Msigwa! Know I agree that Msigwa, Lisu, Mnyika and Mdee = 250 CCM MP's..
 
Kazi aliyotumwa kuifanya hapa duniani imemshinda sasa kajikuta yupo sehemu ambayo hakutakiwa kuwepo. Anaanza kuongea utumbo. ni rahisi binadamu kumsikiliza kiongozi wa dini kuliko viongozi wa nchi, na yeye ameacha kuchunga kondoo kwa kutafuta uongozi wa nchi. Rudi kafanye kazi ya Mungu kaombee wazinzi ili wapate kumrudia Mungu.

Kwan mfalme daudi alikuaje?
 
Back
Top Bottom