Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,509
- 6,862
Kuna tofauti ya kutafuta mwanamke wa kugegeda na kutafuta mwanamke wa maisha; ingawa ni kweli kwamba hata huyu wa maisha nae hua unagegeda but wa maisha ni tofauti na huyo unae malizia HAMU. Nahisi we bado hujawahi penda, subiri kidogo tu umri ukikaa sawa utaelewa.wanaume tunahaibishwa na wivivu wachache, na ukiona mtu analilia mwanamke sana basi hajui kutongoza au hana hala pia inaweza kuwa vyote kwa pamoja