fahiya
Senior Member
- May 4, 2017
- 152
- 120
Jikeep busy utamsahau tuAsante, Mungu ameshanipa mwingine ila nashangaa jinsi roho ilivoniuma, kiasi cha kashindwa kulala. Japo bado sijafunganae ndoa.
Jikeep busy utamsahau tuAsante, Mungu ameshanipa mwingine ila nashangaa jinsi roho ilivoniuma, kiasi cha kashindwa kulala. Japo bado sijafunganae ndoa.
Mkuu unamaanisha nini kusema Mrs rufaa fifa?
Usichafue koo za watu kwa kufananisha na unaowachukia, chuki zako kwa simba hazina uhusiano wowote na ukoo wa SimbaMrs Simbwa wazee wa mezani, now nasikia wanaenda kukata rufaa fifa
MkuuMkuu umeleta picha tena huku, ndiyo umekuja kunichoma kabisaa.![]()
MashaAllah
Aisee pole sana mkuuKwa kweli mwenzenu yamenifika hapaa, yaan nimekosa hadi usingizi, niko kitandan naperuz simu yangu, ghafla nikasema nichungulie kunani instagram, ghafla naona picha ya harusi ya alokuwa mchumba wangu, tulikuwa tunapendana ila kigezo cha dini ndio kilotutenganisha, tukashindwa kuona. .
Yaan Mc lukuvanda umesababaisha leo sitalala, walah. Zuwena jua tu ni nakupenda.
Asante saana mkuuAisee pole sana mkuu
Pole sana ila ukweli Zuwena si wa mchezo mchezo, kama kaopoa HB wa viwango hivi sipati picha wewe ni wa viwango ganiMkuuMkuu umeleta picha tena huku, ndiyo umekuja kunichoma kabisaa.
Picha ya mwisho aloweka usiku huu
Usichafue koo za watu kwa kufananisha na unaowachukia, chuki zako kwa simba hazina uhusiano wowote na ukoo wa Simba
Mkuu kama alikuwa amekubali Kuwa na mimi, basi na mimi ni wa kiwangokiwango cha aina yakePole sana ila ukweli Zuwena si wa mchezo mchezo, kama kaopoa HB wa viwango hivi sipati picha wewe ni wa viwango gani
Asante, Mungu ameshanipa mwingine ila nashangaa jinsi roho ilivoniuma, kiasi cha kashindwa kulala. Japo bado sijafunganae ndoa.
Kwa nini unahisi hivo mkuu?Kwa haraka haraka tu huyo bwana harusi ndiye huyu mleta mada!
Demu mwenyewe mkali huyooo.acha alie tuKuoa inataka moyo. ..jamaa kachukua us.e.d yaka tayar