MC Luvanda umenikwaza

MC Luvanda umenikwaza

Hata huyo ukiremba utaporwa tu!,

unakuwa na demu halafu Muda Mwingi unatumia kuzunguka nae kwny Malls sijui beach sijui Cinema n.k yaani 95% ni Mizunguko na ku chart halafu 5% ndio mnafanya Kazi ya Msingi kwanini usiporwe?
Mkuu usiongee kitu usicho na uhakika nacho, jua kwamba sijaporwa
 
Roho inamiuma saana sijui kwa nini,? Nilikuwa nilishakubali matokeo na nilijua tarehe ya arusi ila nilivo iona picha kavaa shela kapendeza uwez amini roho imeniuma saana
mumewe akipita hapa utaleta zogo kwenye ndoa ya watu! Jifunze kuruhusu mambo yapite kuna wakati mwingine nyumba inapoungua unapaswa kumshukuru Maanani maana huwezi jua pengine nyumbani kwako kulikua makzi ya nyoka ambaye angekudhuru siku moja, hivyo kitendo cha nyumba kuungua kikakuepushia balaa!
 
Kwa kweli mwenzenu yamenifika hapaa, yaan nimekosa hadi usingizi, niko kitandan naperuz simu yangu, ghafla nikasema nichungulie kunani instagram, ghafla naona picha ya harusi ya alokuwa mchumba wangu, tulikuwa tunapendana ila kigezo cha dini ndio kilotutenganisha, tukashindwa kuona. .

Yaan Mc lukuvanda umesababaisha leo sitalala, walah. Zuwena jua tu ni nakupenda.

 
mumewe akipita hapa utaleta zogo kwenye ndoa ya watu! Jifunze kuruhusu mambo yapite kuna wakati mwingine nyumba inapoungua unapaswa kumshukuru Maanani maana huwezi jua pengine nyumbani kwako kulikua makzi ya nyoka ambaye angekudhuru siku moja, hivyo kitendo cha nyumba kuungua kikakuepushia balaa!
Mkuu asante kwa kunifariji na kunitia moyo
 
Mkuu matusi ya nini? Mbona povu limekutoka? Au unadhan mm ndiyo mc luvanda? Huna cha kuchangia tembea mbele

Maneno yote ' unayatapika ' Wewe tu. Hopeless! Promo / Kiki za ' Kipumbavu ' hatuzitaki humu. au MC Luvanda ' Katiririka ' na ' Kaserereka ' na Mkeo / Demu wako?
 
Maneno yote ' unayatapika ' Wewe tu. Hopeless! Promo / Kiki za ' Kipumbavu ' hatuzitaki humu. au MC Luvanda ' Katiririka ' na ' Kaserereka ' na Mkeo / Demu wako?
Acha upuuzi tena nyamaza kimya, kabla sijakuharishia au ulikuwa unamtaka huyo manzi?
 
Mmh poleee mchumba kasha sepa kitaambo vumilia jilani
 
Acha upuuzi tena nyamaza kimya, kabla sijakuharishia au ulikuwa unamtaka huyo manzi?

Pole sana Mkuu naona MC Lukuvanda ' Kakukanyagia ' na sasa unaweweseka tu humu JF. MC Lukuvanda popote ulipo big up sana na endelea tu ' Kumkazia ' hiyo ' Manzi / Ndito ' yake hadi akome.
 
Pole sana Mkuu naona MC Lukuvanda ' Kakukanyagia ' na sasa unaweweseka tu humu JF. MC Lukuvanda popote ulipo big up sana na endelea tu ' Kumkazia ' hiyo ' Manzi / Ndito ' yake hadi akome.
Shogelwamo ww
 
Duuh mdau pole...nimemuona zuwena
Ni mkalii..mrefu.umbo zuri..jicho sasa..
Na.leo tumewekewa video ya harusi...anajua kuchezaaa....
Pole sana lzm uumie
 
Back
Top Bottom