- Thread starter
- #41
Mkuu usiongee kitu usicho na uhakika nacho, jua kwamba sijaporwaHata huyo ukiremba utaporwa tu!,
unakuwa na demu halafu Muda Mwingi unatumia kuzunguka nae kwny Malls sijui beach sijui Cinema n.k yaani 95% ni Mizunguko na ku chart halafu 5% ndio mnafanya Kazi ya Msingi kwanini usiporwe?
