MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,904
- 6,371
Hivi MC Garab anachaji ngapi kupiga kazi ya harusi?
Anachaji Milioni tatu harusi.
Yaani kuongea masaa manne tu. Kuwaambia kateni keki, tambulisha wazazi,,,,Anachukua zake milioni 3
Hivi MC Garab anachaji ngapi kupiga kazi ya harusi?
Ukute alionja kidogo kukata aibu 🤣Nyingine ni ushubwada 😂😂 kuna moja niliona, bwana harusi mtarajiwa anacheza, yan kwa kifupi sio furaha, ni aliranduka 🤣🤣
Nikasema ningekuwa mimi ndo bi. harusi, hakii namfinya kidogo ndo atulie
Hatimaye akalewa 🤣 maana alikuwa ni anaruka na sio kuchezaUkute alionja kidogo kukata aibu 🤣
Maxence Melo ndio mjumbe wa bodi ya faragha ya taarifa,alishatoa angalizo kwamba kuna mtu anaweza kushtakiwa na kudaiwa fidia kwa kutoa taarifa zake bila idhiniHii inajitokeza zaidi katika siku za karibuni kutokana na maendeleo makubwa ya mtandao. Unakuta Kuna kipande fulani kinachukuliwa na mc katika video ya shughuli bwana Harusi na Bibi Harusi mnajikuta ghafla mnatrend mtandao iwe Ni kwa kituko au kwa uzuri.
Madhara yake kwa wahusika
Inaweza kusababisha msongo wa mawazo au kukuharibia heshima yako pahaka fulani.
MC kuweni makini na kazi zenu na usirushe maudhui katika kitandazi chako bila idhini ya wahusika.
Nikweli kkMaxence Melo ndio mjumbe wa bodi ya faragha ya taarifa,alishatoa angalizo kwamba kuna mtu anaweza kushtakiwa na kudaiwa fidia kwa kutoa taarifa zake bila idhini
huwezi kuwashitaki bila mkatabaDawa yao ni kuwashtaki
hamis kunywa kidogo utoe aibu si unajua binamu yako anaoa leo🤣🤣🤣🤣Nikitaka kucheka naangalia hii video � kumbe huku ukumbini kuna mambo sana😅😅😅
kwa sababu ulafi sio jambo gumu ni jambo lenye raha sana.
Acha ujingaKwamba simu zinakusanywa ama wanafanyaje kuzuia watu wasirekodi
Yani nikuchangie Laki halafu unikataze nisirekodi utarudisha mchango wangu