Mbwembwe za mikutano ACT zimeishia wapi?

Mbwembwe za mikutano ACT zimeishia wapi?

Wametweta mbio za sakafuni wamecheza karata garasa ,they lose control an lose energy, ngoma ya watoto haikeshi ,watasalitiana tu hao ukizoea kula nyama za watu huachi
 
Na maandamano ya UKAWA nchi nzima yameishia wapi? Make nasikia eti wanahaha kuonana na Rais ili wakanye Juis ya ikulu.

Hivi ile juisi huwa inachanganywa na matunda gani kiasi kwamba iwakoseshe usingizi wapinzani?? Tafadhali mwenye kujua na atujuze.

Kama wanakunya juice wanahaja gani na juice ya Ikulu?!!!
 
Hili Genge La Mamluki Limeshakufa Bila Kelele
 
Na maandamano ya UKAWA nchi nzima yameishia wapi? Make nasikia eti wanahaha kuonana na Rais ili wakanye Juis ya ikulu.

Hivi ile juisi huwa inachanganywa na matunda gani kiasi kwamba iwakoseshe usingizi wapinzani?? Tafadhali mwenye kujua na atujuze.

hoja za ccm ni za mwaka 45 hoja kama hizo zimepitwa na wakati,ni sawasawa na kutoa hoja eti watu wakubali ccm kwa sababu rangi yake ni kijani sawasawa na majani yaliyo mengi,huo ndio utoto wa viongozi wa ccm hawanaga hoja za maana
 
ATC ndio nini?
Ni shirika la ndege Tanzania wana ndege moja wameajiri wa 100.ACT ni chama kipya cha siasa kilichoanzishwa mahususi kupunguza makali ya upinzani sera zao kubwa ni CDM wabaya sana,CDM chama cha kaskazini blah blah nyingi.Utazidi kushangaa kama si kukasirika ACT hata wewe umeshiriki kuianzisha bila kujua au kupenda hasa kama wewe ni mfanyakazi na unakatwa fedha zako na NSSF lazima umechangia ACT au kama umewahi kutembela mbuga za wanyama Tanzania au kama wewe ni mdau wa sekta ya utalii umeshiriki kuanzisha ACT kwakuwa TANAPA waliamriwa na mamlaka za juu watoe mifedha ya kuanzisha huu mradi usiokuwa na mbele wa nyuma ni hayo tu ndugu yangu laki si pesa
 
Last edited by a moderator:
Kamwe siwezi kujiunga na kundi lolote lile ambalo limeamua kuisaliti Tanzania na Watanzania ili wanufaike financially. Hivyo hilo la mimi kujihusisha na kundi la wasaliti kwa namna yoyote ile kamwe halitatokea hata siku moja.

Unataka uongozi ACT?g
 
kulikuwa matangazo mengi ya kuhusiana mikutano mikubwa (kutikisa) ya ACT kuanza tarehe 22 mwezi nane, sasa hautuon mrejesho au tarehe wamebadilisha? au kelele za chura mwalimu kaijage njoo utujulishe.

Tetesi nilizozipata ni kwamba mwalimu kaijage yuko kliniki ana ujauzito wa zitto,mikutano imehairishwa
 
Kamwe siwezi kujiunga na kundi lolote lile ambalo limeamua kuisaliti Tanzania na Watanzania ili wanufaike financially. Hivyo hilo la mimi kujihusisha na kundi la wasaliti kwa namna yoyote ile kamwe halitatokea hata siku moja.

una uhakika na usemayo?
 
Sasa ATC sijui wapo wangapi hapa JF nawaona ona utadhani wapo wengi kumbe kelele tuu.Yaani wao sera ni kuiponda Chadema badala ya kutafuta njia ya kuing'oa CCM washike dola.

akili zao zimekalia kwenye anus
 
Back
Top Bottom