Pamoja na yote yaliotokea uwanjani lakini samata ameunyesha kiwango kizuri..i can see a better future for him kama atatulia na kuelekeza akili yake kwenye soka..ila akiendekeza misifa badala ya kucheza mpira kama wenzake tunaowafahamu si bure hata baada ya miaka miwili tukamsahau ktk medani ya soka.