mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,102
- 36,067
K. Bazil aliwahi kuimba wimbo wa riziki, nadhani alimlenga Mbwana Samatta na yule Majaliwa wa Precission Air Bukoba. Hawa watu wamepata sifa na utukufu wa bure.
Samatta hajui mpira, kiwango chake ni cha kawaida mno, ni maajabu Samatta kupata dili kucheza Ulaya.
Samata anazidiwa na Mayele kwa akili ya kufunga. Samatta anazidiwa na Chama kwa akili za udambwi udambwi. Samatta anazidiwa na Msuva na kisinda kwa spidi. Samatta akija Yanga atakaa benchi. Samatta akija Simba ataingia sub ya Kibu Denis.
Samatta hajui mpira, sema ana bahati!
Dj tuletee wimbo wa K.Bazil unaoitwa Riziki.
Samatta hajui mpira, kiwango chake ni cha kawaida mno, ni maajabu Samatta kupata dili kucheza Ulaya.
Samata anazidiwa na Mayele kwa akili ya kufunga. Samatta anazidiwa na Chama kwa akili za udambwi udambwi. Samatta anazidiwa na Msuva na kisinda kwa spidi. Samatta akija Yanga atakaa benchi. Samatta akija Simba ataingia sub ya Kibu Denis.
Samatta hajui mpira, sema ana bahati!
Dj tuletee wimbo wa K.Bazil unaoitwa Riziki.