ISSA SHARAFI
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 407
- 75
inaelekea hufatilii mpira wachezaji wengi maarufu wasiotoka uingereza wengi hawajui kiingereza kuanzia amerika kusini mpaka nchi za ulaya kama hispania,ufaransa,ujerumani,italia na ureno.
Lugha ni biashara badala ya kumlaumu tungemsifia kwa kutukuza lugha kitu ambacho hata rais na wabunge wetu wameshindwa kukifanya
Mwambie huyo