Mbwana Samatta ajiunga na Klabu ya Havre Athletic Club ya Ligue 1

Mbwana Samatta ajiunga na Klabu ya Havre Athletic Club ya Ligue 1

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
654
Reaction score
1,598
Mbwana Samatta: I’m delighted to be moving to @hac_foot!! I’ve learnt a lot about this historic and special club over the past few weeks and I believe in the project that’s being built. Thank you to the club for believing in me and I look forward to give 100% in the @Ligue1. I can’t wait to get started - allez les ciel et marine.

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta amejiunga na Le Havre AC inayoshiriki ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1🇫🇷) akitokea PAOK ya Ugiriki.

Samatta ameweka rekodi ya kuwa Mchezaji wa kwanza kutokea Tanzania kusajiliwa na timu ya Ligi Kuu nchini Ufaransa.
I’m delighted to be moving to @hac_foot!! I’ve learnt a lot about this historic and special cl...jpg

I’m delighted to be moving to @hac_foot!! I’ve learnt a lot about this historic and special cl...jpg

I’m delighted to be moving to @hac_foot!! I’ve learnt a lot about this historic and special club.jpg

Dans sa nouvelle maison. 🏟️ (1).jpg

Screenshot 2025-08-05 143507.jpg
 
Mbwana Samatta: I’m delighted to be moving to @hac_foot!! I’ve learnt a lot about this historic and special club over the past few weeks and I believe in the project that’s being built. Thank you to the club for believing in me and I look forward to give 100% in the @Ligue1. I can’t wait to get started - allez les ciel et marine.

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta amejiunga na Le Havre AC inayoshiriki ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1🇫🇷) akitokea PAOK ya Ugiriki.

Samatta ameweka rekodi ya kuwa Mchezaji wa kwanza kutokea Tanzania kusajiliwa na timu ya Ligi Kuu nchini Ufaransa.
Lile goli alilowafunga City akiwa Aston Villa ndilo linamfanya awe ulaya mpaka muda huu
 
Nimeiona Reims hapo kwenye standings ni kitimu kibishi sana....

Samatta kwa kwakweli ame-struggle sana...Sijui ni juhudi zake au management...

Toka atoke Genk hajawahi kuchezea timu chini ya ligi kuu...anzia England, Turkey, Belgium tena, Greece na leo France...

Hili sio jambo Jepesi, Maana kuna wengine walirudi kustafia Ndondo cup kwa mfano Solomon Kalou na Alex Song walistaafia Djibouti.
 
Nimeiona Reims hapo kwenye standings ni kitimu kibishi sana....

Samatta kwa kwakweli ame-struggle sana...Sijui ni juhudi zake au management...

Toka atoke Genk hajawahi kuchezea timu chini ya ligi kuu...anzia England, Turkey, Belgium tena, Greece na leo France...

Hili sio jambo Jepesi, Maana kuna wengine walirudi kustafia Ndondo cup kwa mfano Solomon Kalou na Alex Song walistaafia Djibouti.
Acha kuchekesha Mkuu. Rivaldo alikuja cheza hapo Angola. Vipi kama Samaatta angekosa timu ya top league na timu hizo unazoziponda zikamuhitaji!? Je, angeacha kujiunga nao!? By the way unajua umri wa Kalou wakati anajiunga na timu ya Djibout!? Je, Samatta atakapofika umri huo Atakuwa bado anahitajika!?
 
Acha kuchekesha Mkuu. Rivaldo alikuja cheza hapo Angola. Vipi kama Samaatta angekosa timu ya top league na timu hizo unazoziponda zikamuhitaji!? Je, angeacha kujiunga nao!? By the way unajua umri wa Kalou wakati anajiunga na timu ya Djibout!? Je, Samatta atakapofika umri huo Atakuwa bado anahitajika!?
Kuna mzee anaitwa miroshi ka sikosei ni mjapan, ana Miaka hamsini na KITU na BADO anakomaa huko ureno. Kuna WATU ni wabishi mkuu samata BADO Chali SANA ajitunze TU


Kwishaaaa
 
Acha kuchekesha Mkuu. Rivaldo alikuja cheza hapo Angola. Vipi kama Samaatta angekosa timu ya top league na timu hizo unazoziponda zikamuhitaji!? Je, angeacha kujiunga nao!? By the way unajua umri wa Kalou wakati anajiunga na timu ya Djibout!? Je, Samatta atakapofika umri huo Atakuwa bado anahitajika!?
Wikipedia inatuambia ana miaka 34.
Kwanza hata umri huo bado ni questionable.

Samatta ni mkubwa kwa chama....Samatta ni mkubwa kwa kapombe, Samatta ni mkubwa kwa Zimbwe...Samatta ni mkubwa kwa Thomas Ulimwengu.

Aliocheza nao Mazembe wamestaafu wote.....wakiwemo wa rika lake.

Samatta alicheza Simba 2010/11
Je mchezaji gani aliyekuwa akicheza Simba au hata Yanga wakati huo ambaye bado anacheza hadi leo?

Samatta amekwenda ulaya akiwa amechelewa....Nitajie mchezaji yeyote uliyemwona 2010 akiwa Manchester united, Arsenal, Mamelodi, Mtibwa, Simba au Yanga ambaye anacheza hadi leo 2025/26 season.
 
Mbwana Samatta: I’m delighted to be moving to @hac_foot!! I’ve learnt a lot about this historic and special club over the past few weeks and I believe in the project that’s being built. Thank you to the club for believing in me and I look forward to give 100% in the @Ligue1. I can’t wait to get started - allez les ciel et marine.

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta amejiunga na Le Havre AC inayoshiriki ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1🇫🇷) akitokea PAOK ya Ugiriki.

Samatta ameweka rekodi ya kuwa Mchezaji wa kwanza kutokea Tanzania kusajiliwa na timu ya Ligi Kuu nchini Ufaransa.
Chupu chupu kushuka daraja
 
Wikipedia inatuambia ana miaka 34.
Kwanza hata umri huo bado ni questionable.

Samatta ni mkubwa kwa chama....Samatta ni mkubwa kwa kapombe, Samatta ni mkubwa kwa Zimbwe...Samatta ni mkubwa kwa Thomas Ulimwengu.

Aliocheza nao Mazembe wamestaafu wote.....wakiwemo wa rika lake.

Samatta alicheza Simba 2010/11
Je mchezaji gani aliyekuwa akicheza Simba au hata Yanga wakati huo ambaye bado anacheza hadi leo?

Samatta amekwenda ulaya akiwa amechelewa....Nitajie mchezaji yeyote uliyemwona 2010 akiwa Manchester united, Arsenal, Mamelodi, Mtibwa, Simba au Yanga ambaye anacheza hadi leo 2025/26 season.
Sijui hoja yako ni nini! Ila hao unaosema walistahafia ndondo ni wazi mahitaji ya wakati ndio yalipelekea. Unless useme ni makosa kustahafia kwenye hiko unachoita wewe ndondo cup.
 
Sijui hoja yako ni nini! Ila hao unaosema walistahafia ndondo ni wazi mahitaji ya wakati ndio yalipelekea. Unless useme ni makosa kustahafia kwenye hiko unachoita wewe ndondo cup.
Ndio maana nikasema kwa umri wa Samatta kupata timu ndani ya ligi kubwa kama hiyo ni kama zali..au anasapoti ya menejimenti nzuri......nikiamini hiyo ndio itakuwa club yake ya mwisho.

Otherwise angetakiwa kumalizia mpira wake kwenye viligi vya chini zaidi huko U.A.E
 
Back
Top Bottom