Mbwa wangu jana usiku aliona kitu cha kutisha. Kuna mnyama aliingia na mbwa wangu alimfukuza akiwa ndani ya fensi ambayo siyo rahisi kuiruka kwa sehemu kubwa.
Baada ya hilo tukio anakuwa kama bado anamwona huyo mnyama au mdudu tuseme. Basi analia sana na anakuwa kama anamkimbiza huyo kiumbe au anakimbizwa na hicho kiumbe. Kuna wakati anajificha na kujikunyata.
Hii Hali inampata kila mara. Usiku wa Leo alikuwa anakimbia kujificha au kukikimbiza hicho kiumbe.
Ninapoishi Kuna mapori mengi. Nyumba yangu Ina fenzi karibu yote ila sehemu ndogo fenzi haijapanda sana.
Huyo mbwa mwenye tatizo hili ni wa kienyeji. Bandani kwangu wapo mbwa wengine watatu wao siyo wa kienyeji, hawana hilo tatizo.
Wanaojua hayo mambo naomba msaada. Kuna dawa yoyote au ni ushirikina?
Majirani zangu pia walikumbwa na hilo tatizo...mbwa wao walikuwa wanaweweseka baadaye hamu ya kula iliisha hatimaye walikufa.
Wenye utaalamu wa hayo masuala naomba msaada
Baada ya hilo tukio anakuwa kama bado anamwona huyo mnyama au mdudu tuseme. Basi analia sana na anakuwa kama anamkimbiza huyo kiumbe au anakimbizwa na hicho kiumbe. Kuna wakati anajificha na kujikunyata.
Hii Hali inampata kila mara. Usiku wa Leo alikuwa anakimbia kujificha au kukikimbiza hicho kiumbe.
Ninapoishi Kuna mapori mengi. Nyumba yangu Ina fenzi karibu yote ila sehemu ndogo fenzi haijapanda sana.
Huyo mbwa mwenye tatizo hili ni wa kienyeji. Bandani kwangu wapo mbwa wengine watatu wao siyo wa kienyeji, hawana hilo tatizo.
Wanaojua hayo mambo naomba msaada. Kuna dawa yoyote au ni ushirikina?
Majirani zangu pia walikumbwa na hilo tatizo...mbwa wao walikuwa wanaweweseka baadaye hamu ya kula iliisha hatimaye walikufa.
Wenye utaalamu wa hayo masuala naomba msaada