PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,517
- 13,180
duh!!!kumbe uyo mbwa Ni milioni7,Bora nifuge ndevu tuu yani sijamlisha, kumtibu na kuzomba mavi kila subuhi ..watanganyika tuache mzaha na pesaaa!! Kwani anamafunzo yakivuta?
duh!!!kumbe uyo mbwa Ni milioni7,Bora nifuge ndevu tuu yani sijamlisha, kumtibu na kuzomba mavi kila subuhi ..watanganyika tuache mzaha na pesaaa!! Kwani anamafunzo yakivuta?
Kuna mbwa ni bilionea kiasi kwamba chakula chake anachokula ukifananisha na chako unahisi wewe ndiye mbwaKweli mkuu mbwa asiye na mafunzo kwa bei ya milioni 7 ni uhujumu uchumi.
Mil 7 ni pesa ya kununua chombo cha moto siyo mbwa tena asiye na ABC kichwani.
Hamna mbwa hapo .. naona manyoya tu
Huyu german shephard ni MOSHI SHEPHARD
Huo ni utakatishaji fedha![]()
![]()
Jamaa anatutania. Mil 7?
Watakuwa wanachuki tu na mshikaji maana sijaona kama kaweka iyo milion 7Ni kweli katangaza m 7 au mnamzushia tu jamaa ?![]()
Daah watu wakatili sana na wapo vizuri kukatisha mtu tamaa. Sio vizuri.Watakuwa wanachuki tu na mshikaji maana sijaona kama kaweka iyo milion 7
Kuliko ninunue mbwa milioni 7 si bora niwanunulie chipsi zege wananchi wote wa buza, wataniambia asante
Milioni 7Kwani kasema bei