uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,041
- 8,633
Miaka ya nyuma kidogo ilikuwa kila dampo lazima ukute kundi la mbwa likitafuta chakula.
Lakini siku hizi ni ngumu sana kukuta mbwa iwe kwenye madampo au mtaani.
Hawa mbwa wamepata soko au watu wameamua kuwafuga kwa kuwafungia?
Lakini siku hizi ni ngumu sana kukuta mbwa iwe kwenye madampo au mtaani.
Hawa mbwa wamepata soko au watu wameamua kuwafuga kwa kuwafungia?
