ulaya12
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 834
- 908
Tokea tulipopata taarifa kuwa mzee kingunge ngombale mwilu amelazwa Hospitali ya Taifa muhumbili baada ya kuumwa na mbwa wake akiwa nyumbani kwake, hadi leo tumepata taarifa kuwa mzee kingunge ameaga Dunia hatujapewa taarifa kuwa yule mbwa amechukuliwa hatua gani, nakama bado yupo palepale sehemu ya tukio yaani nyumbani kwa marehemu hataweza kufanya tukio kamahilo kwa mwanafamilia mwingine?