Mutensa
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 421
- 92
Wadau. Bila shaka wenye maoifisi mnamalizia viporo vya weekend. Mimi niko shambani nakagua mimea na mazao huku nikiwa na kofia kubwa kichwani maana jua kali. Katika zunguka yangu nimeona kuwa nahitaji mbuzi wa maziwa.
Jamani kama kuna mtu ana hao mbuzi ani-pm au anitumie email kwenye mutensa@live.co.uk.
Kiufupi natafuta mbuzi jike wa maziwa...
Nisidieni.
Jamani kama kuna mtu ana hao mbuzi ani-pm au anitumie email kwenye mutensa@live.co.uk.
Kiufupi natafuta mbuzi jike wa maziwa...
Nisidieni.