Mbuzi Wa AJabu Dar

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
376953_393030960758510_1450739716_n.jpg
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahaahahaaha umenikumbusha story ya mtu kugeuka chatu buguruni enzi za ujana wetu!!!
 
Huyo mbuzi anabaka wanawake na bado wanaendelea kumpa bia,nyama ,maanadazi na chapati?

Anayempa hivyo vitu ndio achapwe viboko na mbuzi ataacha tabia yake.
 
Wanangu ujinga na uroho mwingine ni balaa. Watanzania wamegeuzwa mbuzi au kuku kuletewa kila upuuzi nao wakauamini. Laiti Shigongo angetwambia kama huyo mbuzi wake ashambaka mkewe kidogo tungemwelewa. Bila kufanya hivyo ni ushahidi kuwa Shingongo anawadharau wateja wake kwa kuwalisha uchafu na uongo. Ajabu eti Shigongo ni mlokole! Hata hivyo nani atashangaa iwapo akina Rwakatare, Gamanywa, Lusekelo, Kakobe, Gwajima na matepeli wengine wana wafuasi?
 
nilishapiga marukufuku magezeti haya kuonekana kwangu, nashindwa tu kuyapiga ban ofisini, mtaani na kwa wauza magazeti mtaani, au huwa nashauri yasomwe(home) watu wote wakiwa wamelala na hakuna anayejua kuwa linasomwa. Sijui limefikaje hapa kwenye JF
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom