Bonson
Senior Member
- Apr 20, 2013
- 183
- 147
Wana JF
Naomba atakayeweza kufikisha taarifa hizi kwa wahusika afanye haraka kuwapa ujumbe huu:
Mti huu uliopo eneo la Mkuyuni jijini Mwanza ni hatari kwa wanamwanza. Naomba ujumbe huu umfikie Mkurugenzi, Meya, Meneja wa TANROAD Mwanza na Mbunge wa Nyamagana.
Huwa napita mahali hapo kila siku nikienda ofisini na kurudi nyumbani na ninaiona hatari inayoweza sababishwa na mti huu.
Mkuyu huu umezeeka sana na unaweza vunjika wakati wowote na kusababisha ajali mbaya. Naomba wahusika wakate angalau matawi yaliyo barabarani.
Mungu Ibariki Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba atakayeweza kufikisha taarifa hizi kwa wahusika afanye haraka kuwapa ujumbe huu:
Mti huu uliopo eneo la Mkuyuni jijini Mwanza ni hatari kwa wanamwanza. Naomba ujumbe huu umfikie Mkurugenzi, Meya, Meneja wa TANROAD Mwanza na Mbunge wa Nyamagana.
Huwa napita mahali hapo kila siku nikienda ofisini na kurudi nyumbani na ninaiona hatari inayoweza sababishwa na mti huu.
Mkuyu huu umezeeka sana na unaweza vunjika wakati wowote na kusababisha ajali mbaya. Naomba wahusika wakate angalau matawi yaliyo barabarani.
Mungu Ibariki Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app