Mr. Ndinani, In Some Extend Iam Mathematician, I Try To Compare The Brain Of That Mp With Such Type Of Set, And What I Proved Is That The Man Has Added 5lt Of Water In A Bottle And At The Same Time Empted 5lt From The Same Bottle Has Leaving The Bottle With Nothing, Such Things Are Unmeasurable But The Effects Are Measured, Therefore Those Guys And Ladies Out Of System Should Take Care On That Shy Arguments B4 Engaging In Such System.
Ubunge wa huyu Mh.uko vipi...??inaelekea una mgogoro maan nilimsikia Paresso akisema hakubaliani na taarifa yake kwa vile hajui ni mbunge wa Arusha au Tanga.Bila ya matusi na kashfa anayejuwa historia ya ubunge wake atueleze.Niombe tena tusitukane wala kukashifu.
Kuna Mh.Mkuchika akimtaka Mkosamali afute kauli yake ya kulikebehi jina la Mh.Rais wakati akijadili ofisi ya Rais.Mh. Mkosamali hakutaja jina la Mh.Kikwete kabisa,bali ametaja jina la Taasisi yaani Rais.Mwenyekiti akimtaka mkosomali afute lakini kwa hoja alizozitoa mkosamali mwenyekiti alishindwa.
Mbunge Kidawa Salehe> Ni Jiji gani linaongoza kwa uhalifu wa ubakaji na udhalilishaji na mikakati gani Serikali imeweka ili kupambana na uhalifu huu>> swali la kwanza la Mbunge Kidawa Hamid Salehe
Swali jingine la Mbunge Kidawa Salehe>>Suala la pili kuna taarifa kwamba baadhi ya Magereza yamekosa nguo za wafungwa.. wafungwa wanakuwa na nguo mbovu zinazoonesha miili yao, Serikali ina mkakati gani katika ili kuondokana na tatizo hili>>
Jibu la kwanza kutoka kwa Pereira Silima
>> Jiji ambalo linaongoza katika masuala ya unyanyasaji, wahalifu ambao wako magerezani la kwanza ni Tabora wahalifu wako 307 kwenye Gereza la Uyui, Tanga wako 110 na Arusha wako 80>>
Jibu la pili ni hili
>> Mahitaji halisi ya wafungwa ni angalau wapate jozi mbili kila mwaka, kuna tatizo kutokana na ufinyu wa Bajeti.. Kuna baadhi ya wafungwa wanavaa nguo zilizochanika ni sawa lakini hakuna mfungwa ambae anaenda uchi>> Naibu Waziri Pereira Silima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.