Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Ajirekebishe. Vinginevyo 2015 wala asifikirie kugombea.
Ajifunze kutoka kwa salakana enzi hizo akiwa cdm kwani walimweka miaka mi5 akaonyesha uzembe kama anaounyesha na hawakuona shida kumpiga chini na kama akiendelea hivi ntashauri chama kingine chochote cha upinzani wakasimamishe mgombea kule ili wasijeirudisha ccm